View attachment 111947
"Sugu moto chini, Sugu moto chini x20000000!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!"
"Sugu moto chini, Sugu moto chini x20000000!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!"
Binti kuwa mpole basi sema unaomba kuwekewa picha. Weee vipi!!!! Umepewa namba na basha unagongea vocha. "Please recharge me. Tafadhali niongezee pesa kwenye simu yangu" Tulia umeshapakatwa.
we kichaa kaa kimya nipo hapa watu wameukimbia mkutano wa injili wamekuja kwa slaa kuna nyomi ya kufa mtu. Wewe unae subiri picha endelea kusubiri paka weweMkuu,
Tunajua kuwa watu ni wachache uwanjani na ili kuondoa aibu hiyo umeamua kuleta habari bila picha. Weka picha hata kama haziridhishi na hiyo imekuchanganya mpaka umekosea tarehe.
CHADEMA huu ni mwaka tasa kwenu.
Jamani Mimi nipo uwanjani. Naamini hapa kuna kitu CDM wanajifunza. Mapokezi ya leo ni watu wachache sana. Hata kauwanja wanakofanyia nusu yake hajafka. Hakuna kinachosemwa. Wanasema Sugu ni Rais na Slaa ni Raisi. Pembeni kuna Mkutano wa Injili unaendelea. Anayefahamu uwanja wa CCM RWANDA NZOVWE ndipo wanafanyia. But hata robo uwanja hawajajaza. Wanamsema Makinda mara Mwiguru. Lakni nashangaa wanasema elimu ya Makinda na Ndugai, lakni hawamsemi Sugu na Mnyika Elimu zao.
Mwongo mkubwa wewe huoni hata aibu lol!Jamani Mimi nipo uwanjani. Naamini hapa kuna kitu CDM wanajifunza. Mapokezi ya leo ni watu wachache sana. Hata kauwanja wanakofanyia nusu yake hajafka. Hakuna kinachosemwa. Wanasema Sugu ni Rais na Slaa ni Raisi. Pembeni kuna Mkutano wa Injili unaendelea. Anayefahamu uwanja wa CCM RWANDA NZOVWE ndipo wanafanyia. But hata robo uwanja hawajajaza. Wanamsema Makinda mara Mwiguru. Lakni nashangaa wanasema elimu ya Makinda na Ndugai, lakni hawamsemi Sugu na Mnyika Elimu zao.
na bado mtaweweseka sana mwaka huu ccm na mafisadi cdm na wananchi. Hakika ungekuepo hapa uwanjani ungebaki na miaibu tu.Kwa hiyo leo mzinzi na mvuta bangi jukwaa moja sipati picha matusi yatakayoshuka hapo,
mkuu weka picha hata za mwaka 2010 make leo watu hawajaja kujumuika na wavuta bangi hao.
Chadema wanapenda sana vurugu. Msishangae kesho sugu aijamba bungeni ili asikike
JF imeingiliwa na manyang'au.
chezea viroba wewe...leo sio tar 19-9-2013
naona viroba vinatembezwa apo mkutanoni na pusha wenu anatembeza cha ukucha ili mtukane vizuri
Mkuu,
Tunajua kuwa watu ni wachache uwanjani na ili kuondoa aibu hiyo umeamua kuleta habari bila picha. Weka picha hata kama haziridhishi na hiyo imekuchanganya mpaka umekosea tarehe.
CHADEMA huu ni mwaka tasa kwenu.
Mkuu,
Tunajua kuwa watu ni wachache uwanjani na ili kuondoa aibu hiyo umeamua kuleta habari bila picha. Weka picha hata kama haziridhishi na hiyo imekuchanganya mpaka umekosea tarehe.
CHADEMA huu ni mwaka tasa kwenu.
Mkuu,
Tunajua kuwa watu ni wachache uwanjani na ili kuondoa aibu hiyo umeamua kuleta habari bila picha. Weka picha hata kama haziridhishi na hiyo imekuchanganya mpaka umekosea tarehe.
CHADEMA huu ni mwaka tasa kwenu.
Chezea S4 za bure kutoka kwa Makamba JUnior.