Deshmo
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 4,806
- 4,253
chezea viroba wewe...leo sio tar 19-9-2013
naona viroba vinatembezwa apo mkutanoni na pusha wenu anatembeza cha ukucha ili mtukane vizuri
Kosa mali upewe akili
chezea viroba wewe...leo sio tar 19-9-2013
naona viroba vinatembezwa apo mkutanoni na pusha wenu anatembeza cha ukucha ili mtukane vizuri
Vp dogo umeshaenda kupiga supplementary zako Udom au uko Mbeya unapiga vijembe jf ilhali sap zinakusubiri.....UTADISCO we boya wewe!!Jamani Mimi nipo uwanjani. Naamini hapa kuna kitu CDM wanajifunza. Mapokezi ya leo ni watu wachache sana. Hata kauwanja wanakofanyia nusu yake hajafka. Hakuna kinachosemwa. Wanasema Sugu ni Rais na Slaa ni Raisi. Pembeni kuna Mkutano wa Injili unaendelea. Anayefahamu uwanja wa CCM RWANDA NZOVWE ndipo wanafanyia. But hata robo uwanja hawajajaza. Wanamsema Makinda mara Mwiguru. Lakni nashangaa wanasema elimu ya Makinda na Ndugai, lakni hawamsemi Sugu na Mnyika Elimu zao.
acha uongo hakuna aliye mtaja Mwigulu hapa nipo uwanjani
mmekuja kumtetea huyo body guard wa mbowe? Mbeya hawadanganyiki tena 2015, mbona chunya songwe mnaogopa? Mnaijua nguvu ya mulugo that why?
Mkuu,
Tunajua kuwa watu ni wachache uwanjani na ili kuondoa aibu hiyo umeamua kuleta habari bila picha. Weka picha hata kama haziridhishi na hiyo imekuchanganya mpaka umekosea tarehe.
CHADEMA huu ni mwaka tasa kwenu.
Mmekuja kumtetea huyo body guard wa Mbowe? Mbeya hawadanganyiki tena 2015, mbona Chunya Songwe mnaogopa? Mnaijua nguvu ya Mulugo that why?
NAMI nipo uwanjani! Watu ni wengi sana na wanazidi kumiminika [idadi tofauti na ile ya watu 100 ya ccm kule shy] KIMSINGI NGUVU YA SUGU BADO 200%
Mkuu,
Tunajua kuwa watu ni wachache uwanjani na ili kuondoa aibu hiyo umeamua kuleta habari bila picha. Weka picha hata kama haziridhishi na hiyo imekuchanganya mpaka umekosea tarehe.
CHADEMA huu ni mwaka tasa kwenu.
Mkuu,
Tunajua kuwa watu ni wachache uwanjani na ili kuondoa aibu hiyo umeamua kuleta habari bila picha. Weka picha hata kama haziridhishi na hiyo imekuchanganya mpaka umekosea tarehe.
CHADEMA huu ni mwaka tasa kwenu.
Rushia photo
Jamani Mimi nipo uwanjani. Naamini hapa kuna kitu CDM wanajifunza. Mapokezi ya leo ni watu wachache sana. Hata kauwanja wanakofanyia nusu yake hajafka. Hakuna kinachosemwa. Wanasema Sugu ni Rais na Slaa ni Raisi. Pembeni kuna Mkutano wa Injili unaendelea. Anayefahamu uwanja wa CCM RWANDA NZOVWE ndipo wanafanyia. But hata robo uwanja hawajajaza. Wanamsema Makinda mara Mwiguru. Lakni nashangaa wanasema elimu ya Makinda na Ndugai, lakni hawamsemi Sugu na Mnyika Elimu zao.
Dada hamida, pls acha
kuweweseka utakufa bure kwa presha.hebu tulia kama vile unakatwa
nywele..tulia dawa ikuingie vizuri.