Yaliyojiri: Mkutano wa Dr. Slaa - Mbeya 15 Sept 2013

Yaliyojiri: Mkutano wa Dr. Slaa - Mbeya 15 Sept 2013

Mbeya leo imedhilisha wamechoka CDM. Watu walijaa kwenyemahubiri, mkutano ukawa kiduchu. Wengi walitoka Ileje, mbozi, Momba, Lungwe na Mbalali. Lakn hata robo uwanja haukujaa. Hata hivyo Washukuru Waumini wa Dini walio kuwa na Tamasha pale wamesaidia kuchakachua picha.

View attachment 111959

Kinachotakiwa ni picha tu sio maneno matupu kama kitenge.
 
Mkuu,

Tunajua kuwa watu ni wachache uwanjani na ili kuondoa aibu hiyo umeamua kuleta habari bila picha. Weka picha hata kama haziridhishi na hiyo imekuchanganya mpaka umekosea tarehe.

CHADEMA huu ni mwaka tasa kwenu.
Shida yako ni kwamba kila ukickia dr slaa,, unaweweseka sana, picha kila cku picha zinawekwa kimya kama unanyolewa,,achan na mzki wa cdm,, we jua kama ni watu wako kibao we ulizia yaliyojiri leo ni nini cyo umati
 
Tupinge ama tusipinge CHADEMA wanakubarika acheni unafiki, KIKWETE mwenyewe anafahamu hilo, CHADEMA hiki ni kipindi chao, CCM magamba tu hayavuriki hawana jipya, Kwenye uwanja huohuo wa RUANDA NZOVWE waliacha kufanyia mikutano kwa kukosa watu kabisa hata wa kukodi kwa marori, na wasafwa sasa wamewageuka, wamejua wanadanganywa. CHADEMA HUMWANYA!

Hilo ndiyo hitimisho! Anayeendelea kujidanganya na aendelee!!!
 
Teh teh, kumbe kikwete na wachina ni kwasababu ya riz 1. Kweli ccm ni janga!


Inawezekana ndiyo sababu kikwete hasemi chochote kuhusu madawa ya kulevya

Anahofu kama atakamata vigogo pacha wa Riz-one, watatoa siri ya kukamatwa Riz-one

kwasababu wanajuwa kila kitu, ilikubakia salama kikwete anajipuuzisha kama haoni wala kusikia
 
Jamani Mimi nipo uwanjani. Naamini hapa kuna kitu CDM wanajifunza. Mapokezi ya leo ni watu wachache sana. Hata kauwanja wanakofanyia nusu yake hajafka. Hakuna kinachosemwa. Wanasema Sugu ni Rais na Slaa ni Raisi. Pembeni kuna Mkutano wa Injili unaendelea. Anayefahamu uwanja wa CCM RWANDA NZOVWE ndipo wanafanyia. But hata robo uwanja hawajajaza. Wanamsema Makinda mara Mwiguru. Lakni nashangaa wanasema elimu ya Makinda na Ndugai, lakni hawamsemi Sugu na Mnyika Elimu zao.

kwa mipasho himo....
 
bom la soweto atown, limetoka na kutengenzwa china, ccm na wachina .......namashaka na mwiguli na mlipuko...
 
Mbeya leo imedhilisha wamechoka CDM. Watu walijaa kwenyemahubiri, mkutano ukawa kiduchu. Wengi walitoka Ileje, mbozi, Momba, Lungwe na Mbalali. Lakn hata robo uwanja haukujaa. Hata hivyo Washukuru Waumini wa Dini walio kuwa na Tamasha pale wamesaidia kuchakachua picha.

uwanja gani unaosema ukilnganisha mkutano wa Mbowe na huu unadhani upi ulikuwa umejaa watu. Halafu huo mkutano ni wa injili siyo tamasha wewe
 
Ndugu zangu mimi napatwa na mashaka makubwa jinsi HAMY-D anavyoweweseka na kupata shida juu ya Dr. Slaa.

Je HAMY-D = Juliana Shonza........???? bilashaka kuna kila dalili za kunifanya kuamini hivyo

Je wengine mnaemaje?
 
Mbeya leo imedhilisha wamechoka CDM. Watu walijaa kwenyemahubiri, mkutano ukawa kiduchu. Wengi walitoka Ileje, mbozi, Momba, Lungwe na Mbalali. Lakn hata robo uwanja haukujaa. Hata hivyo Washukuru Waumini wa Dini walio kuwa na Tamasha pale wamesaidia kuchakachua picha.
Kuna ukweli hapa????????? (km picha ya zamani) au kiini macho maana hata uki-Zoom hakuna Mlokole hapo hao ni Mashabiki kweli wa CDM wakimsikiliza SUGU na amewaomba eti wamruhusu siku ingine akiingia BUNGENI akamchape Naibu Spika vibao
ni kweli hata siku hiyo km askari wa Bunge hawakuwa macho angeondoka na ile SIWA
attachment.php
 
Tupinge ama tusipinge CHADEMA wanakubarika acheni unafiki, KIKWETE mwenyewe anafahamu hilo, CHADEMA hiki ni kipindi chao, CCM magamba tu hayavuriki hawana jipya, Kwenye uwanja huohuo wa RUANDA NZOVWE waliacha kufanyia mikutano kwa kukosa watu kabisa hata wa kukodi kwa marori, na wasafwa sasa wamewageuka, wamejua wanadanganywa. CHADEMA HUMWANYA!

Sijawah ona msafwa punda km ww ulisafwa wa wihii ukunda kabisa awakinga wa hutawale ulikono kono
 
Hizi ni tabia za kike, wanaume hatuna mambo haya. Habari za chuo zinakujaje hapa. Nyie si ndio mlikimbizwa kama ngedere udom.

Umeguswa eeeh...wanawake wameingiaje mbona wengine mfumo dume umewatawala......vp sasa naona unaid kibao nenda kapige sap dogo
 
Sijawah ona msafwa punda km ww ulisafwa wa wihii ukunda kabisa awakinga wa hutawale ulikono kono

wacha ukabila - wenye mawazo mapana wanajua Mbeya ni COSMOPOLITAN CITY
 
....

....Kwa jina la CHADEMA!!!!

...sisiemu toka!! toka!!! toka!!! toka!!! toka!!!!

...Umewafanya vijana kuwa omba omba na taaluma zao kupotea !!! Kila siku wao ni kuomba omba ...kila kukicha wao na Lumumba.....

....toka!! toka !! toka !!!! toka!!!

....hata ukikimbilia kwenye noah ....noah nao watakufukuza!!!!

Hapo una maanisha Kitimoto? Nimecheka sana mkuuu.....!!!
 
Chadema is planting seeds of its own destruction,juzi nimekutana na matingo kama thelathini WA Malori ya mizigo katika kivuko cha mwanza sengerema,hawa sio wasomi lakini walikiri kuwa wanachama WA chadema,lakini hakika nayasema haya bila chumvi kuwa Chadema wabunge wahuni hatutawataka tena wakirefer tiktaka za Sugu na wenzake,kilichonishangaza kumbe watu WA kawaida sana wanafuatilia mienendo ya wabunge,tingo mmoja WA Lorry lililokua limepakia maji ya Rwenzori akasema chadema wanaleta mambo ya club hadi bungeni,kama Kuna mahali chadema hakika mmejibomoa ni Bangi za sugu za bungeni,sikuamini kuwa pamoja na vyombo vya habari kuwalaani chadema akiwemo muhariri shupavu WA Nipashe,kumbe hata wasukuma mikokoteni wanawaona wuhu,
 
Chadema is planting seeds of its own destruction,juzi nimekutana na matingo kama thelathini WA Malori ya mizigo katika kivuko cha mwanza sengerema,hawa sio wasomi lakini walikiri kuwa wanachama WA chadema,lakini hakika nayasema haya bila chumvi kuwa Chadema wabunge wahuni hatutawataka tena wakirefer tiktaka za Sugu na wenzake,kilichonishangaza kumbe watu WA kawaida sana wanafuatilia mienendo ya wabunge,tingo mmoja WA Lorry lililokua limepakia maji ya Rwenzori akasema chadema wanaleta mambo ya club hadi bungeni,kama Kuna mahali chadema hakika mmejibomoa ni Bangi za sugu za bungeni,sikuamini kuwa pamoja na vyombo vya habari kuwalaani chadema akiwemo muhariri shupavu WA Nipashe,kumbe hata wasukuma mikokoteni wanawaona wuhu,

Umejitungia uwongo. asante kwa insha nzuri
 
hv kwel mbeya ccm ipo tena kwa wingi wa watu hawa? Mbona balaa kabisa Mungu wangu hawa wote ni watu?
 
Enzi hizo Watanzania walikuwa hawaijui vizuri CHADEMA ndio maana walikuwa wakijaa kwenye mikutano.

Lakini kwa sasa, CHADEMA ina hutubia miti tu maana Watanzania hawana muda wa kupoteza kusikiliza walaghai.

ni muhimu sana kujifariji mkuu otherwise mtakufa kihoro
 
Duh, Siasa za Tanzania bhana. Kila siku ni vituko visivyokuwa na maana yoyote kwa mwananchi.

Ningeelewa kama mkutano ungekuwa maalum kwa ujumbe tofauti na huu tunaoambiwa na pia kusoma kwenye hii mada.

Mtu apigane bungeni halafu atayalishiwe mapokezi 'makubwa'!. atleast kidogo ningeelewa kama Mh. Mbowe angefanya mkutano kuelezea kilichotokea na kutoa mtazamo wake kuhusiana na tukio hilo kwa sababu yeye ndiyo alikuwa muhusika.

Huyu Sugu alinunua kesi ambayo wala haikuwa yake ndiyo maana hata wabunge wengine wa CHADEMA hawakumsaidia bungeni wakati anapata misukosuko.

Mwenye kesi ambaye ni Mh. Mbowe yuko kimya kwa sababu hekima na busara zake zimeliona hilo tukio nila kipuuzi na halihitaji kuwa amplified wakati huyu mwenzetu anatafuta umaarufu wa muda mfupi lakini majanga kwa miaka ijayo.

Hivi tunajenga taifa gani?. Watu kama Mh. Mbilinyi kuna uwezekano kesho watakuja kuwa watawala na sitashangaa kama utawala wao utakuwa wa kiimla huku mahakama zikiwa ni kangaroo court.

Kweli taifa la watu wa hovyo hovyo hata viongozi nao ni wale wale.
 
Back
Top Bottom