Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 20,517
- 30,587
Igalula atapita asubuhi sana itakuwaje au Alilala Igalula jana ?Atapita kuwasalimia tuu mkae center hapo itigi
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Igalula atapita asubuhi sana itakuwaje au Alilala Igalula jana ?Atapita kuwasalimia tuu mkae center hapo itigi
Hatari aisee,ifungulie thread bcSALAAM ZA GWAJIMA KUTOKA MWISHO WA RELI.
1. Ulituaidi Chuo Cha Marubani hukutimiza.
2. Uliaidi kujenga Chuo Cha Biblia, hukutimiza.
3. Uliaidi kujenga Hospitali Kata ya Salasala, hukutimiza Hilo.
4. Uliaidi kumfufua Amina Chifupa, Hukutimiza pia.
5. Uliaidi kugeuza Misikiti kuwa Sunday schools, Hujatimiza.
6. Umeshindwa kulipia semitrailer mbili bandalini (90Mil.)
7. Ulituaidi na ukatutaka kuchanga fedha za kuanzisha TV lkn hujatimiza.
8. Ulituaidi na kutuchangisha fedha za kuanzisha Radio, lkn hujatimiza.
9. Ulituuzia viwanja (2015) kule Kiluvya (Mwanakondoo), lkn mpaka Leo hujatupatia.
10. Ulituaidi kuleta ndege 12 za abiria, lkn hujatimiza.
11. Ulituaidi treni ya umeme lkn hujatimiza.
12. Ulituaidi lujenga kanisa lenye uwezo wa Kubeba watu 250,000 kwa ibada moja, lkn hujatimiza na bado tuko chini ya mabati.
13. Leo unatuaidi kwenye kampeni kuwapeleka wananchi wa Kawe Marekani📷📷📷📷, Askofu! Askofu! Askofu! Mungu anakuona ujue.....dhambiya Uongo ni ya shetani mwenyewe kabisa.
14. Aidha, bado tunakumbuka juu ya ile video. Maana mwenendo wako baada ya ile video umebadilika Sana, ijapokuwa bado hatuamini Kama Kuna mahusiano.
Embu tuachie Kawe yetu bana...
Eti wajameni.Lissu anahangaika wajameni
Mbona anaenda singida kila siku, hawaamini ndugu zake ? Anajua watamfyekelea mbali
Kinana aliwaambia hakuna uchaguzi mrahisi mueleweni. Labda kama mnatarajia vyombo vya dola na vya maamuzi eg NECHakuna Uchaguzi rahisi kama huu Mkuu ushindi ni 98%
October 28 unachukua unaweka waaa kwa Rais Magufuli na Ccm
Anayehangaika na Lissu ni mleta mada, angeacha hata wewe usingehangaika kuchangia.Halafu nawe unazidi kuhangaika naye
Natamani hizi nyundo apigwe nazo Gwajiboy siku ya kufunga kampeni.SALAAM ZA GWAJIMA KUTOKA MWISHO WA RELI.
1. Ulituaidi Chuo Cha Marubani hukutimiza.
2. Uliaidi kujenga Chuo Cha Biblia, hukutimiza.
3. Uliaidi kujenga Hospitali Kata ya Salasala, hukutimiza Hilo.
4. Uliaidi kumfufua Amina Chifupa, Hukutimiza pia.
5. Uliaidi kugeuza Misikiti kuwa Sunday schools, Hujatimiza.
6. Umeshindwa kulipia semitrailer mbili bandalini (90Mil.)
7. Ulituaidi na ukatutaka kuchanga fedha za kuanzisha TV lkn hujatimiza.
8. Ulituaidi na kutuchangisha fedha za kuanzisha Radio, lkn hujatimiza.
9. Ulituuzia viwanja (2015) kule Kiluvya (Mwanakondoo), lkn mpaka Leo hujatupatia.
10. Ulituaidi kuleta ndege 12 za abiria, lkn hujatimiza.
11. Ulituaidi treni ya umeme lkn hujatimiza.
12. Ulituaidi lujenga kanisa lenye uwezo wa Kubeba watu 250,000 kwa ibada moja, lkn hujatimiza na bado tuko chini ya mabati.
13. Leo unatuaidi kwenye kampeni kuwapeleka wananchi wa Kawe Marekani, Askofu! Askofu! Askofu! Mungu anakuona ujue.....dhambiya Uongo ni ya shetani mwenyewe kabisa.
14. Aidha, bado tunakumbuka juu ya ile video. Maana mwenendo wako baada ya ile video umebadilika Sana, ijapokuwa bado hatuamini Kama Kuna mahusiano.
Embu tuachie Kawe yetu bana...
Ukishaedit?Nitakuja na pic mda si mrefu tuko huku
kwa kuwa wewe umeshadhani, basi akili yako si ya kawaida.hivi kwa akili ya kawaida tu unadhani watu wa dodoma watamchagua au.
Nasikia yule mbunge wao Mwakasaka anapumulia mipira kwa Mrs. Bananga
Mlisema Chato hatapata hata mtu mmoja kwenye mkutano😁😁😁😁Lissu anahangaika wajameni
Mbona anaenda singida kila siku, hawaamini ndugu zake ? Anajua watamfyekelea mbali
Sawa MkuuUchaguzi huu ni rahisi sana kiongozi
October 28 unachukua unaweka waaa kwa kwa Rais Magufuli na Ccm
Utaamini baada ya October 28
Aisee mimi najiamini ni mchapa kazi sana. Kuna wakati nachapa kazi 48hrs mfululizo bila kulala wala kupumzika lakini huyu Mwamba nimemvukia kofia aisee.Tundu Lissu ana nini lakini?
Mbona wenzake wanachoka yeye anazidi kuchanja mbuga hivi?
Anakera kama nini huyu, kutaka watu waanguke na mapressure.
Updates tushiriki na sisi wa huku kataviNitakuja na pic mda si mrefu tuko huku
Yeye kanielewa na kanipa jibuInner circle gani unayozungumzia? Tofauti na hiyo uliyemquote?
Huyu Mwamba anatisha sana.Mgombea Urais kupitia Chadema Tundu Lissu leo anaendelea na kampeni zake za kuingia Ikulu katika mikoa ya kati.
Mgombea huyo ambaye kila dalili inaonyesha atapata ushindi mkubwa ataingia jimboni Kongwa anakotokea aliyekuwa Spika wa Bunge Job Ndugai.
Kuna Maandalizi makubwa ya mapokezi yameandaliwa na wananchi wa Kongwa huku wengi wakiwa hawamtaki Job Ndugai aliyetumia hila kupitia Tume ya Uchaguzi kumuondoa mgombea wa CDM na kujipitisha bila kupingwa.
Ndugai anakumbukwa kwa kumnyima Tundu Lissu haki yake ya kutibiwa alipopigwa Risasi na Kama vile haikutosha akamfukuza ubunge huku akiwa kalala kitandani akitibiwa.
Mara baada ya kutoka Kongwa Tundu Lissu ataingia Dodoma Mjini kumalizika kampeni zake kwa siku ya leo.
Hata hivyo mapema asubuhi hii kabla ya kuingia Kongwa Lissu anatarajiwa kufanya kampeni maeneo ya Manyoni na Bahi.
Vitambulisho vya kupiga kura tunavyo acha kujifarijiWakati serikali ina hamasisha watu waende kujiandikisha kwa ajili ya uchaguzi mkuu, Chadema walikua wakihamasisha watu wasiende kujiandikisha mbaka ipatikane katiba Mpya. Chakushangaza baada ya matokeo wata lalamika wameibiwa kura.
Singida ipi nyingine! Nani anakomba ubongo wenu wanaccm?Lissu anahangaika wajameni
Mbona anaenda singida kila siku, hawaamini ndugu zake ? Anajua watamfyekelea mbali
Wewe ukenge, Singida ina jimbo moja? By the way lile gari la mkaa limeshatoka gerejiLissu anahangaika wajameni
Mbona anaenda singida kila siku, hawaamini ndugu zake ? Anajua watamfyekelea mbali
KilazaLissu anahangaika wajameni
Mbona anaenda singida kila siku, hawaamini ndugu zake ? Anajua watamfyekelea mbali