johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,131
Wananchi wa Mbeya Mjini wamesema wanamsubiri kwa hamu kubwa makamu mwenyekiti wa CHADEMA Mhe. Tundu Lissu katika mikutano ya kuokoa Bandari na Katiba mpya.
Mbeya wamedai wao wana Jambo lao na Tundu Antipas Lissu.
Jambo gani? Ngoja tuone
Nawatakia Sabato Njema 😀
Mbeya wamedai wao wana Jambo lao na Tundu Antipas Lissu.
Jambo gani? Ngoja tuone
Nawatakia Sabato Njema 😀