Ukiwa dhamira usiweke hadharani jokolilo atakutafuta sasa hivi akuweke kwenye kiroba hukuwaona wale waliozikwa kimya2HII NCHI NI YA KUPINDUA TUU MAANA HAMNA NAMNA BILA UBABE MAMBO HAYAENDI HAPA
akina kagame walinyanyasika sana ila saivi unaona wanachokifanya. we tambua malipo ni hapa hapa duniani tuuUkiwa dhamira usiweke hadharani jokolilo atakutafuta sasa hivi akuweke kwenye kiroba hukuwaona wale waliozikwa kimya2
Wakuu Leo hii MKURUGENZI Mtendaji wa Jamii Media na mwanzilishi wa mtandao maarufu wa JamiiForums na Fikra Pevu, atapandishwa Kizimbani Ikiwa ni pamoja na kushughulikia dhamana yake.
============
UPDATES!
=> Maxence Melo ameshafikishwa Mahakama ya Kisutu, taratibu za kumfikisha kizimbani kwa ajili ya kusikilizwa maombi yake dhamana bado zinasubiriwa...
=> Ndugu Maxence Melo amepatiwa dhamana muda huu kwa makosa yake anayoshtakiwa likiwemo la kuendesha tovuti ambayo haijasajiliwa na Serikali.
View attachment 448131
Maxence Melo mwenye nguo nyeusi katikati, akiongea na waandishi wa habari katika Hotel ya Serena baada ya kuachiwa kwa dhamana.
Kinachowakera wakubwa si habari za uongo maana uongo hauumi! Bali kinachowauma ni habari za kweli zilizofanyika gizani/sirini halafu ghafla zinaanikwa hadharani! Ukweli unauma!
Juzi nilikuwa nasikia maelezo ya serikali kuhusu kupanda kwa bei ya sembe wakidai eti ni kawaida kwa miezi kama hii bei ya sembe kupanda, majibu mepesi mpaka unatamani kutukana kwa hasira
Wakuu Leo hii MKURUGENZI Mtendaji wa Jamii Media na mwanzilishi wa mtandao maarufu wa JamiiForums na Fikra Pevu, atapandishwa Kizimbani Ikiwa ni pamoja na kushughulikia dhamana yake.
============
UPDATES!
=> Maxence Melo ameshafikishwa Mahakama ya Kisutu, taratibu za kumfikisha kizimbani kwa ajili ya kusikilizwa maombi yake dhamana bado zinasubiriwa...
=> Ndugu Maxence Melo amepatiwa dhamana muda huu kwa makosa yake anayoshtakiwa likiwemo la kuendesha tovuti ambayo haijasajiliwa na Serikali.
View attachment 448131
Maxence Melo mwenye nguo nyeusi katikati, akiongea na waandishi wa habari katika Hotel ya Serena baada ya kuachiwa kwa dhamana.
Wakuu Leo hii MKURUGENZI Mtendaji wa Jamii Media na mwanzilishi wa mtandao maarufu wa JamiiForums na Fikra Pevu, atapandishwa Kizimbani Ikiwa ni pamoja na kushughulikia dhamana yake.
============
UPDATES!
=> Maxence Melo ameshafikishwa Mahakama ya Kisutu, taratibu za kumfikisha kizimbani kwa ajili ya kusikilizwa maombi yake dhamana bado zinasubiriwa...
=> Ndugu Maxence Melo amepatiwa dhamana muda huu kwa makosa yake anayoshtakiwa likiwemo la kuendesha tovuti ambayo haijasajiliwa na Serikali.
View attachment 448131
Maxence Melo mwenye nguo nyeusi katikati, akiongea na waandishi wa habari katika Hotel ya Serena baada ya kuachiwa kwa dhamana.
Mie naona shida siyo pesa. Watu waandamane wakamtoe Max. Pesa ndiyo zitamsaidia, lakini unafikiri utapeleka ujumbe vipi kwa wale wanaomnyanyasa? Maana hao ndiyo mizizi ya tatizo. Tukiwaachia wataendelea kufanya hivi kila wanapojisikia. Wanatakiwa kujua tunamwitaji Max. Watu wanaogopa kuandamana au kuanzisha maandamano na hapo ndipo tunawapisha wanyayasaji.nILIANZISHA UZI ASUBUHI TUMCHANGIE WALAU PESA YA SODA WATU WAKAA KIMYA WEEE CHAKUSHANGAZA NAONA WANAPIGA DOMO KWENYE HUU UZI ETI WANAMPENDA?? KWELI KABSA?? KWELI WATANZANIA WANAFIKI
Tanzania kwa mara ya kwanza inatawaliwa na mijitu isiyokuwa na VISION wala MISSION( Maono au Malengo)! Badala yake JPM na Majaliwa wanatawala kwa kuongozwa na matukio na mihemko!!!
Kama mtu ame-note JPM au PM wake hawanaga lolote la kuongea au ubunifu wa jambo lolote kwa maslahi ya nchi!!!
Kazi yao kubwa imekuwa ni KUVIZIA KIONGOZI AKOSEE HALAFU ndiyo wanaajitokeza kwa mbwembwe na mikwara kibao!!!
Angalia issue ya Chingas Jijini Mwanza, angalia issue ya Faru John, angalia issue ya Mkurugenzi wa NIMR Bi. Malechela, angalia issue ya Dangote n.k. na n.k.
Kiongozi mzuri ni yule anayeonyesha njia kusudi watu wasipotee au kukosea njia!But kiongozi anayevizia watu wakosee ili afurahie KUWATUMBUA ni bogus!!
niceMie naona shida siyo pesa. Watu waandamane wakamtoe Max. Pesa ndiyo zitamsaidia, lakini unafikiri utapeleka ujumbe vipi kwa wale wanaomnyanyasa? Maana hao ndiyo mizizi ya tatizo. Tukiwaachia wataendelea kufanya hivi kila wanapojisikia. Wanatakiwa kujua tunamwitaji Max. Watu wanaogopa kuandamana au kuanzisha maandamano na hapo ndipo tunawapisha wanyayasaji.