Yaliyojiri Mahakama ya Kisutu: Kesi ya ndugu Maxence Melo - Hatimaye apata dhamana

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Apr 18, 2017
2,797
11,959
Wakuu Leo hii MKURUGENZI Mtendaji wa Jamii Media na mwanzilishi wa mtandao maarufu wa JamiiForums na Fikra Pevu, atapandishwa Kizimbani Ikiwa ni pamoja na kushughulikia dhamana yake.

============

UPDATES!

=> Maxence Melo ameshafikishwa Mahakama ya Kisutu, taratibu za kumfikisha kizimbani kwa ajili ya kusikilizwa maombi yake dhamana bado zinasubiriwa...

=> Ndugu Maxence Melo amepatiwa dhamana muda huu kwa makosa yake anayoshtakiwa likiwemo la kuendesha tovuti ambayo haijasajiliwa na Serikali.


00511bffc081edb406c021070502ad1f.jpg

Maxence Melo mwenye nguo nyeusi katikati, akiongea na waandishi wa habari katika Hotel ya Serena baada ya kuachiwa kwa dhamana.
 

Attachments

  • image.jpeg
    image.jpeg
    54 KB · Views: 179
Unaweza kukuta hakimu wa hiyo kesi tukaambiwa amepata udhuru kwao Mbeya hivyo hadi Ijumaa. Ninakosa imani kabisa na mwenendo wa utendaji haki kwa sasa hapa nchini. Kuna mambo mengi yanapelekwa kwa uhuni uhuni tuu ili kukomoa watu. Na government inapofikia hatua ya kuweka sheria pembeni na kutumia uhuni kukomesha raia wake ambao inawashtaki sio kwa uhaini bali kwa kesi za kawaida ujue imefika mwisho wa uwezo wake wa kuongoza.
[HASHTAG]#2020OUT[/HASHTAG]
 
"Ukikamatwa na Serikali, ukazimia, ukaacha tu moja kwa moja, wakati ukijua kwamba unachokifanya si kibaya kwa nchi, inakuwa ni kama unakosea.

Sasa what’s keep me going ni kwa sababu ninajua ninakoelekea. Na najua ninachokitaka. Na lengo langu kubwa ni kuwahudumia Watanzania.

Na sikatishwi tamaa na wanaonikatisha tamaa. Nakatishwa tamaa na wale wanaoniambia nadhani mlikofika panatosha
"-Maxence Melo

[HASHTAG]#FreeMaxenceMelo[/HASHTAG]

[HASHTAG]#FreeMaxenceMelo[/HASHTAG]
 
Back
Top Bottom