Haswaaaaaanikupoteza muda tu mbowe anatakiwa awe ameshaanza kutumikia miaka yake 30 muda mrefu
Haswaaaaaanikupoteza muda tu mbowe anatakiwa awe ameshaanza kutumikia miaka yake 30 muda mrefu
Kama Dikteta lishaanza kuangamia huko jehanamnikupoteza muda tu mbowe anatakiwa awe ameshaanza kutumikia miaka yake 30 muda mrefu
Mkuu, sasa mbona jana hukutokea pale kijiweni kwetu kwa mama P, pale Rau Madukani? maana mbege ya jana ilikuwa bomba balaa !!nikupoteza muda tu mbowe anatakiwa awe ameshaanza kutumikia miaka yake 30 muda mrefu
umebaki wewe tu mwenye maneno kama hayo sasa hivi huku mtaani kila mtu anamkumbuka jpm kwa mazuri wewe sijui unatoka nchi ganiKama Dikteta lishaanza kuangamia huko jehanam
nilikuwa mahaamani nikishuhudia kibatala anavyojambishwa hana jipya keshapanga na kina lissu amfungishe mbowe ili lissu awe mwenyekiti kamiliMkuu, sasa mbona jana hukutokea pale kijiweni kwetu kwa mama P, pale Rau Madukani? maana mbege ya jana ilikuwa bomba balaa !!
kesi fambastic hii kiongozi, aibu kwa jamhuri yetu, hata hivyo jaji anawabeba ila hawabebeki - on my way to Rau Madukani.nilikuwa mahaamani nikishuhudia kibatala anavyojambishwa hana jipya keshapanga na kina lissu amfungishe mbowe ili lissu awe mwenyekiti kamili
mkuu we wahi rau mimi nataka nikaone jinsi kesi ndogo inavyotupwa maana kibatala hajui hata anataka kufanya ninikesi fambastic hii kiongozi, aibu kwa jamhuri yetu, hata hivyo jaji anawabeba ila hawabebeki - on my way to Rau Madukani.
Hivi ni kweli mahakama inaendeshawa kwa sheria? Mbona juzi kati hapa huyo jaji kakubali kupokea kielelezo ambacho hakiungwi mkono na sheria yoyote? Sheria waliyoinukuu haipo kabisa duniani. Labda mahakama za wenzetu huko walikostaarabikaNi mwendazake pekee alikuwa na akili za kiboya kama hizi.
Mahakama inaendeshwa kwa taratibu na sheria sio kwa kukurupuka na uwendawazimu.
sawa, ntamwambia mama P. akuwekee asiuze yote.mkuu we wahi rau mimi nataka nikaone jinsi kesi ndogo inavyotupwa maana kibatala hajui hata anataka kufanya nini
Kama refa wa kwenu mtafungwa vipi?Nimekuwa nafuatilia hii kesi ya Mbowe kwa ukaribu sana.
Na nimeshuhudia mapingamizi mengi ya kikosa nguvu ya kisheria hivyo kutupiliwa mbali mahakama.
Hii ni ishara inayoonyesha timu ya Jamhuri inayongozwa na prominent lawyer Robert kidando ni moto wa kuotea mbali.
Ninachokiona ni kwamba haya mapingamizi mengi yanayokatwa na upande Kibatala ni kujaribu kutengezea picture ya kuwaminisha wananchi yakwamba uwanja wanaochezea haupo fair; jambo ambalo ni utoto kabisa.
Pia wameonyesha kupanic panic pasipo sababu mfano leo mzee wa “what is terrorism” anatumia maneno makali mahakamani. Acha panic kijana, jenga hoja za kisheria vizuri
Hatari sana. Watu hawaoni haya kutoa ushahidi wa uongo mahakamaniView attachment 2005439
Baada ya Mawakili wa Utetezi kuweka pingamizi kuhusu ushahidi wa Afande Jumanne , ikakubaliwa kuwepo kwa kesi ndogo ndani ya kesi kubwa ili kupata majibu halali ya kisheria kutokana utata uliopo .
Kesi hiyo inaendelea leo Mahakamani hapo
Mheshimiwa Mbowe sio gaidi ni Guide (Leader),mahakama ibadilishe inawezeka upande wa mashitaka walikosea !HIVI KWELI MBOWE NI GAIDI???MBONA HAFANANI KABISA NA HAO MAGAIDI??
IBoya hiyo roho mbaya umeitoa wapi?nikupoteza muda tu mbowe anatakiwa awe ameshaanza kutumikia miaka yake 30 muda mrefu
Isije ikawa ma karau wa ccm washawapiga biti.Tuhabarishe nasi huifaham yanayojiri
Leo ndo mmechelewa saana kuliko siku zingine