HabariChademamara
Senior Member
- Apr 6, 2015
- 113
- 91
Wana JF ambao mko Bunda tunaomba kupata updates za mapokezi ya Kiungo Mshambuliaji Ester B pacha wa Halima Mdee huko Bunda kwa wenye taarifa watupatie Pia habari Kangi Lugola.
========
========
Kamanda Ester Bulaya akisema na wakazi wa Bunda.
Katibu Mkuu BAWACHA jukwaani muda huu!!
View attachment 270556
Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Mara kamanda Vincent Nyerere akiwa jukwaani kumtambulisha Kamanda Ester Bulaya kwa wananchi wa Bunda mjini.
View attachment 270558