Yaliyojiri leo mapokezi ya Bulaya na Lembeli; CHADEMA waitikisa Bunda

Vyovyote vile bulaya inampasa kumpumzisha Yule anaetumia viti vya bunge kama vitanda...na Uyu dada kwa jua au mvua inabidi Arudi bungeni..mdee...bulaya..matiko ...wataamusha hari ya mabadiliko saana kwa wanamama na mabint
 
Ester karibu sana CHADEMA na mti mkavu unaenda kuanguka, nitakuwepo kukupokea mwezi november katika ukumbi wa bunge Dodoma
 
Hivi hawa wamepotelea wapi? maana naona maCCM eti yanasema Bulaya na Lembeli ni Makapi hivi nani amechukua makapi kati ya CHADEMA na CCM

700794081.jpg


11.+MWAMPAMBA,+SHONZA,+ASENGA+NA+....jpg


Mchange%252520na%252520wenzie_thumb%25255B5%25255D.jpg


Na huu hapa chini ndio usajiri mpya wa CCM

wema%2Bnape.jpg
 
Pamoja wana Bunda .Mwaka huu wenye wivu na Chadema watachoka wenyewe tunaeneza mabadiliko ndani ya mioyo ya watanzania ili tuyazike rasmi mafisadi
 
Vyovyote vile bulaya inampasa kumpumzisha Yule anaetumia viti vya bunge kama vitanda...na Uyu dada kwa jua au mvua inabidi Arudi bungeni..mdee...bulaya..matiko ...wataamusha hari ya mabadiliko saana kwa wanamama na mabint

Naikumbuka ile hotuba ya Nyerere mgombea wa CCM,wakati wa baba wa taifa yupo!akaja Mwinyi yupo!akaja Mkapa yupo!akaja Jakaya yupo!na sasa anataka kuendelea!neno kungatuka ni msamiati mgumu kwake!Ila kwa huyu dada kwakweli kazi itakuwa kubwa.
 
Back
Top Bottom