CAMARADERIE
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 4,419
- 1,920
Mimi nawasubiri Dr Slaa na Zitto watujuze maana wao ni members humu....huyu Jini Brain mzushi mtupu
Mkuu hili sio kweli kwani masharti ya ununuzi wa vifaa chakavu ni katiba ya Taifa, haizuii vyombo vingine nje ya serikali kutofanya hivyo. Na hakuna mahala popote ktk katiba ya chama inazuia chama kutonunua vitu chakavu iwe ya CCM,CUF,TLP au CDM. nenda maofisi mwao utakuta vitu chakavu na mkuu wangu unajikuna pale unapoweza.
Swala la Zitto kupinga ununuzi huo ni wazo lake kupinga ununuzi huo na haihusiani na sababu za kitaifa kutonunua vitu chakavu, ila ni ushauri ambao hutokea ktk vikao vyovyote vile. Hata mimi naweza pinga magari kununuliwa toka India, haina maana maamuzi ya CDM kununua magari India ni Ufisadi bali napinga wazo hilo unless nitaonyesha ufisadi umefanyika vipi..
Mimi nawasubiri Dr Slaa na Zitto watujuze maana wao ni members humu....huyu Jini Brain mzushi mtupu
Samahani nilikuwa nimetoka kidogo hivi unaweza kuniambia ni magari mangapi hadi sasa yameshanunuliwa na Chadema kuthibitisha huo ufisadi.Huwezi elewa kwani umeisha ziba masikio na macho. Tofautisha ununuzi wa gari lako na mkeo, na wa chama cha siasa. Kama chama cha siasa inabidi uonyeshe kwa vitendo kile mnacho hubiri, sio nyie na wabunge wenu mnahubiri vitu chakavu visinunuliwe serikalini na kwenye halmashauri kwani kufanya hivyo mtaruhusu mwanya wa ufisadi ? sasa nyie mnataka kununua vitu chakavu huo kwenu sio ufisadi ? au ufisadi ni kwa serikali tu ? jivue gamba !
Mkuu kubali ukweli tujivue magamba, ukiona na wao wako kimya ujue ni ukweli mtupu mie huwa sibahatishi na ninayo yasema. Silence means YES !
Samahani nilikuwa nimetoka kidogo hivi unaweza kuniambia ni magari mangapi hadi sasa yameshanunuliwa na Chadema kuthibitisha huo ufisadi.
Tatizo ni kukataa kwako kuelewa......serikali inabanwa na PPA kama sheria lakini taasisi zilizo nje ya mfumo wa kiserikali hazizuiwi kununua mali chakavu ikiwemo hata CCM ina magari ya mtumba...na hii PPA ni directive ya World Bank....wewe unahusiha CDM...kwa hiyo unataka turudi kununuwa Dowans just kwa sababu CDM wanataka kununua magari mtumba?...wewe unaendesha gari mpya?
Wewe ndiye umeanzisha thread nafikiri una taarifa zaidi ni magari mangapi yamenunuliwa ili tuwabane zaidi.Slaa si yumo humu mwambieni ajibu hili, kama yeye ni mkweli kweli. Na akipindisha tutamuumbua kwani taarifa zote tunazo
Wewe ndiye umeanzisha thread nafikiri una taarifa zaidi ni magari mangapi yamenunuliwa ili tuwabane zaidi.
Ikiwa hujui kama zimenunuliwa ama la ufisadi wa Chadema unatoka wapi.Yeye mwache ajibu hili, ila nampa dokezo tu hizi gari chakavu za Maraj za india , kwani mpaka aina tunaijua !
Nashangaa uelewa wako kwa nini ni mdogo kiasi hiki, unataka kufananisha ununuzi wa gari lako la familia (private use) na la chama (public use), ni vitu viwili tofauti. Na hata CCM wao hawajawahi kununua magari mitumba, wakati wa uchaguzi waliingiza magari mapya ya Landcruiser hardtop (mkonga) 110 yote mapya, ww hiyo ya kusema magari chakavu walinunua uliipata wapi? toa data. Sasa nyie hii rushwa ya kununua vitu chakavu itawaponza wakuu jirekebisheni bana
Mkuu kubali ukweli tujivue magamba, ukiona na wao wako kimya ujue ni ukweli mtupu mie huwa sibahatishi na ninayo yasema. Silence means YES !
Hili suala la magari chakavu limemuumbua sana Slaa kama mtendaji mkuu wa chama, kwa kusema asivyotenda ! Slaa ni ndugu na mapacha 3
All politicians are the same... Especially linapokuja suala la fedha!
Mkuu hapa unabahatisha, na unatumia nguvu nyingi bila sababu. Twambie magari hayo yamesha nunuliwa? kama swala lipo kwenye mjadala kabla ya kununuliwa hapo ufisadi uko wapi? Kama kikao hakijaisha na wewe unatangaza ufisadi kwa nguvu zote tukueleweje? unachuki na CDM, ufisadi au magari mitumba? Umeweka thread wacha tuijadili bila mwongozo wako, labda utuambie nia yako ilikuwa kupandikiza chuki. Mbona magari mabovu aina ya Korando yaliletwa na CCM kutoka India yakafa yote baada ya muda mfupi hujayasema hapa!
Mnajifanya kondoo kumbe mmejivika ngozi ya chui, mtarukana sana ! ila ukweli umeisha dhihirika