... kati ya waovu wengi hawakosekani wachache wenye haki! Kwani katika majiji ya Sodoma na Gomora hapakuwa na watatu, watatu tu, wenye haki kati ya maelfu?Ila yule koplo alikuwa na ubinadamu sana.
Fikiria amekutana na mtuhumiwa wa ugaidi kwa mara ya kwanza hapo selo tena katika mazingira ambayo askari wenzake wanamtesa, anamuulizaanatokea wapi! jamaa anamjibu anatokea Mwanza na alikuwa askari.
Koplo anamwambia hata yeye ameshawahi kukaa Mwanza, na anatoa siri kuwa kuna wajeda wenzake pia wapo hapo selo. Na kuanza hapo anajenga urafiki, anapitia kumsalimia kila siku. Na anampatia biskuti kila akipata nafasi wakati ambapo akina Kingai hawampi chakula.
Kumbe katika hawa polisi, wapo wenye roho nzuri pia.
... ndio kabisa wange-justify ni magadi; kumbuka ya Field Marshall Al Hamza walivyokimbilia haraka haraka ku-conclude ni gaidi na jalada kufungwa fasta. Hawa makomandoo ni wavumilivu na wenye busara sana. Japo wanaishi kwa mateso kwa sasa, lakini Mungu anapoamua "kuwafumbua macho" watu wake ana njia nyingi sana.Hawa makomandoo hawakuweza kuwadhibiti hao polisi uchwara?
Yuko fair sana.Huyu jaji anaonekana mselamsela sana
Jaji yupo vzr,anaendesha kesi vzr sana
Ila ni chuki kubwa inayopandikizwa hapa. Kati ya polisi na wanajeshi... ndio kabisa wange-justify ni magadi; kumbuka ya Field Marshall Al Hamza walivyokimbilia haraka haraka ku-conclude ni gaidi na jalada kufungwa fasta. Hawa makomandoo ni wavumilivu na wenye busara sana. Japo wanaishi kwa mateso kwa sasa, lakini Mungu anapoamua "kuwafumbua macho" watu wake ana njia nyingi sana.
Kupitia hawa jamaa tumejua uozo wa ajabu ulio kwenye mifumo yetu ya haki - Katiba, sheria, polisi, DPP, mahakama/yule jaji aliyetaka kuwa kocha mchezaji, n.k.
Hakuna mwanaume anaweza kuishi bila kula chakula kwa muda wa siku kumi mfululizo. Kiwango cha mwisho mwanaume kuishi bila chakula ni siku nane tu, kwa mwanamke siku kumi na nne hadi ishirini na moja. Endapo mtu hatapata chakula na maji kwa muda wa siku tatu au nne mfululizo itakuwa ndio chanzo cha kifo chake. Kwa hiyo huyo shaihidi ni mwongo. Inawezekana waliomshikilia mahabusu hawakumpelekea chakula ila mahabusu wenzio waligawana naye kusukuma siku.
Unajibizana na hao wazembe wanaosubiri teuzi za kuvuliwa pichu??Wanakusanywa kwenda wapi?.Kwani mtu anapoachana na kazi nyingine haruhusiwi kutafuta kazi nyingine?.bora ata nyumbu wana akili kuliko wewe.Maana ukiwa na akili laxima ujue kua haya ni maisha na kila mtu ana haki yakutafuta au kufanya kazi youote hslali haijalishi mwanzoni alikua wapi.
Hakuna aliyepambana naMbowe akabaki salama. Funzo kwa Jiwe.Ila ni chuki kubwa inayopandikizwa hapa. Kati ya polisi na wanajeshi
Hujamsikiloza vizur..hakula siku kumi kwa chakula cha kina kingai (polis) bali alikuwa analetewa na rafiki yake yule polis biskut na soda anagawana na mwenzake..upo nyonyo!Hakuna mwanaume anaweza kuishi bila kula chakula kwa muda wa siku kumi mfululizo. Kiwango cha mwisho mwanaume kuishi bila chakula ni siku nane tu, kwa mwanamke siku kumi na nne hadi ishirini na moja. Endapo mtu hatapata chakula na maji kwa muda wa siku tatu au nne mfululizo itakuwa ndio chanzo cha kifo chake. Kwa hiyo huyo shaihidi ni mwongo. Inawezekana waliomshikilia mahabusu hawakumpelekea chakula ila mahabusu wenzio waligawana naye kusukuma siku.
Ni nani anawatishia wanajeshi? anafahamu athari zake,? ni kweli mna Mamlaka lkn hapa mmeenda vibaya!!!
Serikali msituingize kwenye matatizo.... DPP withdraw hii kesi kuna jambo mnalipanda sasa litaleta very bad consequence muda si mrefu!!!
Hili Gaidi lingeachiwa liendelee kumbe lingetuletea madhara makubwa sana bora vyombo vyetu vimelikabili.
na pia lilifanikiwa kupandikiza mbegu za kigaidi kwa wananchama wake.
nao wanapaswa wafuatiliwe nyendo zao.
Wanawake wengi wa JF wako vizuri sana upstairs, ila wewe si mmoja wao. Na katika hili, utanisamehe sana kama nitakua nimekukwaza.
Kama ungekua ndiyo wewe, ungekubali kukaa jela milele kwa kosa la kusingiziwa/kubambikiwa? Yaani uache familia yako, maisha yako mazuri uraiani, then ukaishi maisha ya mateso jela, kwa lengo tu la kujua mengi ya huko?
Mahakamani hakuna kuhisi wala myths, sheria inataka Mahabusu wapewe Chakula je hao wakina Kingai waliwapa Chakula?Hakuna mwanaume anaweza kuishi bila kula chakula kwa muda wa siku kumi mfululizo. Kiwango cha mwisho mwanaume kuishi bila chakula ni siku nane tu, kwa mwanamke siku kumi na nne hadi ishirini na moja. Endapo mtu hatapata chakula na maji kwa muda wa siku tatu au nne mfululizo itakuwa ndio chanzo cha kifo chake. Kwa hiyo huyo shaihidi ni mwongo. Inawezekana waliomshikilia mahabusu hawakumpelekea chakula ila mahabusu wenzio waligawana naye kusukuma siku.
Wewe na huyo Numbisa wako, naona kama akili zenu wote zinafanana vile. Tuufunge huu mjadala tafadhali.Kwani mtuhumiwa mheshimiwa Mbowe na wenzie wako na options gani?!?
Unamuhukumu Numbisa kwa mfano batili!!
No matter the accused’s position, it has to be beyond reasonable doubt!!
Alisema sello kulikuwa na bomba la Maji so alikuwa anajisevia, soma vizuri mfululizo wa kesi sio unakuja kujamba tu humu jukwaaniHakuna mwanaume anaweza kuishi bila kula chakula kwa muda wa siku kumi mfululizo. Kiwango cha mwisho mwanaume kuishi bila chakula ni siku nane tu, kwa mwanamke siku kumi na nne hadi ishirini na moja. Endapo mtu hatapata chakula na maji kwa muda wa siku tatu au nne mfululizo itakuwa ndio chanzo cha kifo chake. Kwa hiyo huyo shaihidi ni mwongo. Inawezekana waliomshikilia mahabusu hawakumpelekea chakula ila mahabusu wenzio waligawana naye kusukuma siku.