Hebu jaribu kufuatilia kwa nini Dole sytem ilifail kwenye nchi uliyoko miaka ya Karne ya 18....utakuwa na matatizo ya akili kuamini katika kugawa pesa...
Nadhani huelewi watu kwa nini ni maskini kama mwenyekiti wa chama chako...hii ni moja ya njia ya kuwafanya watu maskini zaidi (kugawa pesa)...
Utaelewa kwa nini Masiah alimsifu yule mjane aliyetoa kidogo alichonacho..
Unaenda kumlipa msanii 10mil mbele ya jamii maskini!
Mueleza hata OBAMA tulimchangia na hela za mabox tehetehe... lazima kieleweke...