CT SCan Mchina
JF-Expert Member
- Mar 13, 2013
- 1,311
- 289
Ndo akili zenu zinawatuma mkiona watu wengi mnaona mmeshinda
wewe vipi Umerogwa?
Ndo akili zenu zinawatuma mkiona watu wengi mnaona mmeshinda
Mnyika, Kinana akasome vyema ilani ya CHADEMA ili aieneze vyema si kama alivyochakachua Morogoro. CHADEMA ilisema itaanza mchakatowa katiba mpya ndani ya siku 100 si kuandika katiba kwa siku 100.
Uwanja ulijaa muda mrefu kabla hata msafara wa Katibu Mkuu, Dkt. Slaa, na wabunge, Peter Msigwa, John Mnyika, Ezekia Wenje, Hyness Kiwia na Joseph Mbilinyi.
Tunakuaminia kamanda Mohamedi Mtoi, tunakufuatilia wengine walikuwa wababaishaji, vipi nyomi?
UMATI MKUBWA WA KISIASA KAMA HUU KWA CCM SIKU HIZI NI GHARAMA KUBWA SAWA NA BEI YA BASI MOJA AINA YA 'MACOPOLO PARADISO' ILA KWA CDM YOTE NI HIARI TU
Wakuu, umati mkubwa kama huu unaojihiari tu wenyewe kwenda kuwasikiliza Makamanda wetu wa uhakika CHADEMA, kama ingalikua ni kwa upande wa watani zetu Wa-Kijani lazima
(1) ingewagharimu hadi Tsh 53,000,000/- kuwakusanya watu kwa kuwalipa fedha na kuwasafirisha kwa malori,
(2) Nape na Mzee wa Tembo wangehitaji kitu kama mikutano ya ndani zaidi ya 60 ili kubembeleza watu wajitokeze,
(3) Wa-Kijani wangehitaji ziara ya wiki 2 mfululizo kutembelea si chini ya vijiji 50 Iringa ili siku ya mkutano waweze kupata japo robo ya watu kama tunaowaona katika umati hapo chini lakini watoto wa shule za msingi wakiwa ndio wengi zaidi ambao mara nyigi hujitokeza kwenda kujionea wenyewe kwamba 'FISADI HUWA NI MTU WA AINA GANI VILE',
(4) Kwenye mkutano mzito kama huu wa leo, laiti kama ingalikua ni kwa wale watani wetu Wa-Kijani, lazima kumbi mbali mbali nchini zingekua zimebaki zikiwa zimenuna kwa kuwa tu wasanii lukuki wamekusanywa kwenda kubembelezea umati wa kisiasa wasiondoke hata kama sera ya siku ni kuporomoshea CHADEMA matusi mazito mazito kama yale ya 'Waziri Mkuu Muandaliwa wa CCM hapo 2050 - Mhe Serukamba et al'.
Jamani, acheni CHADEMA tuendelee kupendwa kwa hiari ya wananchi wenyewe bil ya kuwapa hata senti tano kwa kuwa wanafahamu fika nini maana ya 'Vita Dhidi ya Ufisadi - CCM' na ugumu wake wanaoupata makanda wetu kila siku kwa ajili ya umma wa Tanzania kupata ahueni baada ya kukiondoa CCM pale Magogoni.
CDM vita dhidi ya ufisadi bungeni mbeeeeele kama tai mpaka kielewe na kusaidi kurejeshea ndugu zetu Wa-Maasai ardhi ya kule Loliondo kabla hajachelewa!!!!!!
![]()
naona unarusha vi miguu angalau upate kwenda choo leo....mwambie nepi hapa hakuna cha diamond wala mipasho ni full dose kwa raia dhidi ya ufisadi wenu....leo hii mnatuletea hata monsanto ili tufe?Mipango ya Mungu haiwezi kushindwa kamwe!!!!sugu ndio ana drs la 7 la kata teh teh teh
Unakumbuka uchanguzi wa Arumeru, unakumbuka mlisema nini? mara wanywa viroba mara hawana kadi lakini mwisho wa siku watu waondoka saa tisaa usiku kwenda uwanja wa ndenge subiri mwaka 2015 mtawahi uwanja wa ndege kuikimbia nchi kwani kinacho fata sasa hivi ni kuwahamasisha vina kwa wingi wajiandikishe.....Ndo akili zenu zinawatuma mkiona watu wengi mnaona mmeshinda
naona unarusha vi miguu angalau upate kwenda choo leo....mwambie nepi hapa hakuna cha diamond wala mipasho ni full dose kwa raia dhidi ya ufisadi wenu....leo hii mnatuletea hata monsanto ili tufe?mipango ya mungu haiwezi kushindwa kamwe!!!!