Hakika ni habari njema sana.Hakika utukufu wa Mungu umedhihirika.
Acha uprotestant we kijana. Kwanini unapenda kumshirikisha mungu kwenye issue zetu hizi za kuwania tonge?
Acha mungu aitwe mungu bana!
Hakika ni habari njema sana.Hakika utukufu wa Mungu umedhihirika.
I think CCM has pissed on you!CHADEMA hawana kitu Malori yamesomba raia kutoka Morogoro na Mbeya kujaza watu Iringa lol..........
chadema hawana kitu malori yamesomba raia kutoka morogoro na mbeya kujaza watu iringa lol..........
Yakafie mbele manyang'au kabisa kazi kuombaomba na kutumika kama ile mipira.......mkuu hao jamaa leo nepi kawaambia hawapati posho, so wengine wamezira wameondoka humu wamebaki wawili tu leo, wanajitahidi kumkonvisi nepi awape japo kjero la nauli tehhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh
chezea cdm weye, utalala mtaloni kama gadafii tehhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh
peopleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
unakumbuka uchanguzi wa arumeru, unakumbuka mlisema nini? Mara wanywa viroba mara hawana kadi lakini mwisho wa siku watu waondoka saa tisaa usiku kwenda uwanja wa ndenge subiri mwaka 2015 mtawahi uwanja wa ndege kuikimbia nchi kwani kinacho fata sasa hivi ni kuwahamasisha vina kwa wingi wajiandikishe.....
Mnyika anasema fedha za DECI zirudishwe. Wabunge wanazuiwa kujadili suala la Deci eti liko mahakamani, mbona Magufuli aliamua kuongelea suala la samaki wake kwani aliwagawa hao samaki wakati kesi ikiendelea.
Mnyika anatuma salamu kwa Kamhanda kuwa alisababisha mauaji ya Mwangosi. Anasema kitendo hiki hakivumiliki na hawataliacha suala hili bila hatua kuchukuliwa
acha uprotestant we kijana. Kwanini unapenda kumshirikisha mungu kwenye issue zetu hizi za kuwania tonge?
Acha mungu aitwe mungu bana!
Leo mtajampa mapovu maana buku 7 nepi kaondoka nazo....mlidhani Allah atatuacha mtuuwe na monsanto wenu...Acha uprotestant we kijana. Kwanini unapenda kumshirikisha mungu kwenye issue zetu hizi za kuwania tonge?
Acha mungu aitwe mungu bana!
Acha uprotestant we kijana. Kwanini unapenda kumshirikisha mungu kwenye issue zetu hizi za kuwania tonge?
Acha mungu aitwe mungu bana!
hivi mnyika nae alitimuliwa bungeni?
Alafu dogo ajiangalie alianza vizuri lakini na yeye sasa kawa kiroporopo