Yaliyojiri Harambee ya CHADEMA live ITV - Oktoba 31, 2014

Yaliyojiri Harambee ya CHADEMA live ITV - Oktoba 31, 2014

Watanzania tunajidhulumu nafsi zetu kwa tamaa zetu,wote wanaojinadi kuichangia ccm kwa ajili ya kula haramu ya rushwa tu na sii uzalendo kwa watanzania wenzao
 
ZZK akiona hafla kama hizi anaumia sana moyoni! "tragedy of miscalculations" kosa ni kuwa na bei "price tag".
 
CCM nao waanzishe e-membership wanachama wao wajisajili mtandaoni.
 
- Kwanini tuchangishwe wakati Chama kinapewa ruzuku na serikali?
- Tokana na ripoti ya CAG, mahesabu ya Chadema yanatiliwa shaka. Tutawaamini vipi kuwapa pesa zetu nyingine?
- Kulikuwa na michango kama hii huko nyuma, tunaomba kupewa marejesho kabla ya kuanza kuchangishwa tena.
 
- Kwanini tuchangishwe wakati Chama kinapewa ruzuku na serikali?
- Tokana na ripoti ya CAG, mahesabu ya Chadema yanatiliwa shaka. Tutawaamini vipi kuwapa pesa zetu nyingine?
- Kulikuwa na michango kama hii huko nyuma, tunaomba kupewa marejesho kabla ya kuanza kuchangishwa tena.

..kwa taarifa yako hakuna chama kilichopata hati safi.

..kuna kimoja hakijawasilisha mahesabu yake.
 
Nchi hii hakuna chama chenye Ubunifu na mikakati mizuri ya wazi na yenye utaalamu wa hali ya juu kama CHADEMA.

NAPE na CCM yako kwenye ubunifu ninyi ni SUFURI [0]tena yenye masikio.

KIUKWELI UHAI WA CHADEMA UNAITISHIA NA KUITANGAZIA CCM KIFO.

Kwa namna hii UTAIPENDA TU CHADEMA.
 
Nchi hii hakuna chama chenye Ubunifu na mikakati mizuri ya wazi na yenye utaalamu wa hali ya juu kama CHADEMA.

NAPE na CCM yako kwenye ubunifu ninyi ni SUFURI [0]tena yenye masikio.

KIUKWELI UHAI WA CHADEMA UNAITISHIA NA KUITANGAZIA CCM KIFO.

Kwa namna hii UTAIPENDA TU CHADEMA.
 
Nchi hii hakuna chama chenye Ubunifu na mikakati mizuri ya wazi na yenye utaalamu wa hali ya juu kama CHADEMA.

NAPE na CCM yako kwenye ubunifu ninyi ni SUFURI [0]tena yenye masikio.

KIUKWELI UHAI WA CHADEMA UNAITISHIA NA KUITANGAZIA CCM KIFO.

Kwa namna hii UTAIPENDA TU CHADEMA.
 
Back
Top Bottom