Si mzime tv zenu mnatupigia kelele watoto wamelala.
...nambari waniiiiiiiii
![]()
Nyoooo! Hapo ulipo hata ela ya kununulia andazi huna
Mimi siyo mpenzi wa chama chochote ila nimejikuta nanogewa na program ya leo ya uchangiaji,swali langu ni je huu mchango na program kwa ujumla ni ya CHADEMA AU UKAWA.nauliza kwa sababu kwenye hotuba inatajwa UKAWA lakini Nembo iliyoonyeshwa kwenye runinga ni ya CHADEMA.Je hii haiwezi kuwafanya CUF na NLD kuona wamemezwa na CHADEMA?.Nauliza kwa nia njema msinitukane tafadhali maana humu uchelewi kurushiwa makonde.
Mkuu tusiwe kama wao,, tuwe tofauti sisi,,, kwani hata mimi ------ naiunga mkono CDM na ukawa... Tusiiishi wanavyoishi... Adui wetu no 1 ni CCM tupambane atoke!!!