Yaliyojiri Harambee ya CHADEMA live ITV - Oktoba 31, 2014

Yaliyojiri Harambee ya CHADEMA live ITV - Oktoba 31, 2014

Mpaka sasa hivi chama kinakufikia hapo ulipo namikutano juu je kinaendeshwa na kudra za Mwenyezi Mungu?

Chadema Kwanza

.... Mkuu Sina Ugomvi Na Michango, Ila Tujuzwe Tu Zimepatikana Shiling Ngapi Na Zimetumikaji Basi.! Hii Ni Taasisi Bana.
 
Nyumba ya kiongoz wetu DUBAI umefikir alijengea nini? wewe acha kuuliza uliza watakuchacha
 
Unataka kujua mapato pekeyake au mapato na matumizi?....nadhani hiyo kitu ndo ilimletea songombingo ZZK mpaka akatengenezewa zengwe la usaliti

Wewe naona zzk bado unamuota,husipate shida sana nenda act wasaliti utamkuta
 
kweli kabisa mfuate jamaa yako.wanapochangia millions mbona hamuwaaandiki?kuwa na majumba dubai sawa kabisa.we need rich leaders.
 
.... Daah, Yaani Sijapata Majibu, Naona Porojo Tu. Ila Nashukuru Kwa Taarifa Zenu. Nitaenda Mwenyewe Makao Makuu Kuuliza.
 
Back
Top Bottom