Yaliyojiri Harambee ya CHADEMA live ITV - Oktoba 31, 2014

Yaliyojiri Harambee ya CHADEMA live ITV - Oktoba 31, 2014

Endeleeni kudhulumu mafukara na wajinga.....


Ruzuku ya chama mle na familia zenu halafu mtake kuibia walalahoi kwa michango ya kitapeli...

hahaha!! yangu macho, ni kama walalahoi walivyodhulumiwa kwenye epa, escrow, richmond, radar, na makorokocho yanayofanana na hayo.
 
MSALANI, Lizaboni, Mingoi, Ghosryder, laki si pesa, lusungo, Ruttashobolwa...ongezeni bidii! Mkilala tu Chadema wameikomboa nchi. Naomba niwakumbushe yalompata rafiki mkubwa wa CCM, Nicolaus Ceusesko wa Romania mwaka 1989; bonyezeni hapa;




Au yalompata comredi Muammar Gaddafi wa Libya na wiki hii yamempata Blaise Compaore wa Burkina Faso
 
Last edited by a moderator:
Endeleeni kudhulumu mafukara na wajinga.....


Ruzuku ya chama mle na familia zenu halafu mtake kuibia walalahoi kwa michango ya kitapeli...


.....kuna ajira ya kupika pilau magogoni changamkia !!!
 
Fedha zote mnazotuma zinakwenda kwenye simu ya mkononi ya LEMA.
 
Last edited by a moderator:
Piga *150*00#
Chagua kipengele cha 4 "Malipo"
Ingiza namba ya kampuni, 213040.
Ingiza namba ya kumbukumbu ya malipo , M4C ikifuatiwa na jina lako, bila kuacha nafasi. Mfano M4CKasinge.
Ingiza kiwango, ni vizuri kuanzia 500 na kuendelea.
Ingiza namba ya siri.


Utapokea meseji kutoka paylink kuconfirm malipo yako,
na utapokea msg ya shukrani kutoka CHADEMA.
 
Habar wakuu?

Makamanda mliopo serena mwambieni mbowe anaruka hatua ya tatu

-*150*00#
-4 Malipo
-4 Huduma
-Ndio nne namba ya kampuni sasa

Kwakuruka hatua hiyo watu hawataweza kuchangia ni vizuri kurekebishwa.

1. *150*00#
2. Chagua No. 4
3. No. ya kampuni - 213040
4. No. ya kumbukumbu M4C jina no space
5. Kiasi cha fedha
6. No. ya siri
7. press 1 kukubari
 
fedha zote mnazotuma zinakwenda kwenye simu ya mkononi ya lema.

hahahaha msalani una roho ngumu yani unajidanganya wewe mwenyewe? Nyie mnatakiwa kuongezewa malipo maana mnafanya kazi mazingira magumu sana
 
1. *150*00#
2. Chagua No. 4
3. No. ya kampuni - 213040
4. No. ya kumbukumbu M4C jina no space
5. Kiasi cha fedha
6. No. ya siri
7. press 1 kukubari
Mnatuua watz kwa wizi wenu huu
 
Habar wakuu?

Makamanda mliopo serena mwambieni mbowe anaruka hatua ya tatu

-*150*00#
-4 Malipo
-4 Huduma
-Ndio nne namba ya kampuni sasa

Kwakuruka hatua hiyo watu hawataweza kuchangia ni vizuri kurekebishwa.
Mbowe tatizo lake ni elimu ndogo na ulevi wa kupindukia.
 
Back
Top Bottom