Yaliyojiri Harambee ya CHADEMA live ITV - Oktoba 31, 2014

Yaliyojiri Harambee ya CHADEMA live ITV - Oktoba 31, 2014

Mzee Slaa uzee umetamalaki, anaongea kwa shida...

Na kumbukumbu zinapotea kila mara..

Anajaribu kutengeneza propaganda na kutaka kutuaminisha kuwa CHADEMA SIO CHA KICHAGA!
 
Wadau, imekaaje hii? Josephine Mushumbusi alipoombwa na Dr Slaa apunge mkono amegoma
 
Dr slaaa anasema
chadema kilisajiliwa 1992
mwanzilishi ni ndugu edwini mtei anatoka kilimanjaroje ni dhambi??
Mh boob makani, mh mohamed makani...anatoka shinyanga
mh victor kimesera ni masai
brown ngilulupi.. Mbeya'
marcous shanga.. Singida
mh masinde-ukerewe
mh meleck.. Pemba
mary kabigi.. Mbeya na rukwa
george wassira.. Mara
marehemu.. Philipo shilembi... Kutoka mara

anasema nimeamua kuanza hivi iliwa le wanama ni cha watanzania wanaosema chadema ni cha kichaga siyo kweli, sasa leo chadema ina madiwani maeneo yotee
 
Anajichanganya kwa kusema waasisi wametoka kona zote za Tanzania na hivyo si chama cha kaskazini? Mbona hajatuambia kwa nini wenyeviti wote ni wachagga?
 
ting ni matatizo makubwa,ving`amuzi vyao ni ovyo sana,vimekata local channels zote.
 
Ameanza upuuzi wake wa kusingizia kuwa wanashindwa kwenye uchaguzi kutokana na nguvu za dola
 
Mzee Slaa uzee umetamalaki, anaongea kwa shida...

Na kumbukumbu zinapotea kila mara..

Anajaribu kutengeneza propaganda na kutaka kutuaminisha kuwa CHADEMA SIO CHA KICHAGA!

hahahahaha
 
Mzee Slaa uzee umetamalaki, anaongea kwa shida...

Na kumbukumbu zinapotea kila mara..

Anajaribu kutengeneza propaganda na kutaka kutuaminisha kuwa CHADEMA SIO CHA KICHAGA!


Amewataja waanzilishi wa chama cha Chadema walitoka mikoa tofauti wenye makabila tofauti na wenye dini tofauti na sasa chama hichi kina wabunge maeneo tofauti na mengi katika nchi hii ,kama utaamua kuendelea kupotosha wewe endelea lakini ukweli upo wazi na dua tumeomba na huu upotoshaji wako Allah atasema na wewe mnafiki.
 
Amewataja waanzilishi wa chama cha Chadema walitoka mikoa tofauti wenye makabila tofauti na wenye dini tofauti na sasa chama hichi kina wabunge maeneo tofauti na mengi katika nchi hii ,kama utaamua kuendelea kupotosha wewe endelea lakini ukweli upo wazi na dua tumeomba na huu upotoshaji wako Allah atasema na wewe mnafiki.

Mwambie Mzee Slaa haya maneno,
Mnajidai kumtaja Mungu ilhali mnaendekeza Uzinzi, ulevi, ufisadi na wizi.
 
Anajichanganya kwa kusema waasisi wametoka kona zote za Tanzania na hivyo si chama cha kaskazini? Mbona hajatuambia kwa nini wenyeviti wote ni wachagga?


Unahangaika kama una kipele sehemu flani .
 
Mwenyekiti wa cdm wa kwanza alitofautiana na mwalimu kwa kutaka watz wa uchumi wa juu wa kati na wa chini kugawana keki ya taifa dr slaa anasema na hiyo ndio imani ya cdm mpaka sasa👍
 
Slaa kabadilisha tena walio muibia kura kumbe siyo Usalama wa taifa Tena bali ni Tume ya taifa ya Uchaguzi!
 
Back
Top Bottom