Gharama inayotumika kurusha matangazo ya chadema itv na vyombo vingine vya habari kwa saa moja ni sawa na kununa madawa ktk hospitali za rufaa na wilaya kote nchini. Ni sawa na kujenga shule 20 za sekondari kusomesha yatima na maskini nchini, je chadema haina uchungu kwa watz wanaokosa elimu kwa kukosa shule? Wanaokufa kwa kukosa madawa? Kweli hii ni timu madaraka
ama kweli ukubwa wa kichwa sio wingi wa akili! nini jukumu la serikali kwa wananchi? mbona kodi zinakusanywa na kuliwa na mafisadi, subiri UKAWA washike nchi then ndo uhoji.
