Yaliyojiri Harambee ya CHADEMA live ITV - Oktoba 31, 2014

Yaliyojiri Harambee ya CHADEMA live ITV - Oktoba 31, 2014

Mbowe anadhani watanzania wote ni wajinga kama misukule wa CHADEMA.

tutaipigia kura katiba mpya na hakuna NYANI yeyote kutoka UKAWA mwenye uwezo wa kuzuia hilo.

Huyu jamaa mjinga sana.
 
Mbowe, atakwenda kigoma, tabora, katavi, singida,lindi na mtwara
 
Freeman:ndio kwanza tunaanza mikakati ya kuipiga katiba ya ccm
Tunaomba watz wajue salama ya nchi hii ipo katika kuipigania haki
Ni hatari na ni majanga sana kwa nchi hii tukiruhusu ccm ituongoze tena kwa miaka mitano ijayo!
 
Vijana wa CHADEMA msikubali kupewa matumaini hewa hivi. 2015 CHADEMA isiposhinda anzeni na MBOWE.
 
Mbeya na iringa.. Salumu mwalimu
mnyika...kanda ya ziwa
dr.slaaa.. Atulie yeye ni njini kubwaaa
 
Karibuni Diamond Jubilee kwenye 3rd ANNUAL FUNDRAISING DINNER ya HASSAN MAAJAR TRUST
 
naisubiri kwa hamu kule bavicha huku bawacha hapa m4c tour mpaka waombe pooooo
 
Wahuni akina sugu, et al wamepewa nafasi kutoa lugha za kihuni mbele ya kadamnasi, mbele ya watz. Ndio mana wengi wanaita chama hiki cha wasanii na waganga njaa. Kundi la walioshindwa..

vp kuhusu Sitta kwa maaskofu
 
Mbowe anadhani watanzania wote ni wajinga kama misukule wa CHADEMA.

tutaipigia kura katiba mpya na hakuna NYANI yeyote kutoka UKAWA mwenye uwezo wa kuzuia hilo.

Huyu jamaa mjinga sana.
mkuu katiba mpya ipi? Hakuna katiba mpya hapa tanzania!
 
Gharama inayotumika kurusha matangazo ya chadema itv na vyombo vingine vya habari kwa saa moja ni sawa na kununa madawa ktk hospitali za rufaa na wilaya kote nchini. Ni sawa na kujenga shule 20 za sekondari kusomesha yatima na maskini nchini, je chadema haina uchungu kwa watz wanaokosa elimu kwa kukosa shule? Wanaokufa kwa kukosa madawa? Kweli hii ni timu madaraka
 
Back
Top Bottom