Yaliyojiri Harambee ya CHADEMA live ITV - Oktoba 31, 2014

Yaliyojiri Harambee ya CHADEMA live ITV - Oktoba 31, 2014

hiyo pesa itumike kuwajengea uwezo viongozi wa chini ngazi ya vitongoji na vijiji. Chadema wana viongozi dhaifu sana katika ngazi za mitaa na vijiji. Bila kufanya hivo watanzania watasubiri sana mabadiliko.
Wewe toa mchango wako matumizi wanapanga kina Mbowe.
 
hiyo pesa itumike kuwajengea uwezo viongozi wa chini ngazi ya vitongoji na vijiji. Chadema wana viongozi dhaifu sana katika ngazi za mitaa na vijiji. Bila kufanya hivo watanzania watasubiri sana mabadiliko.

Mabadiliko yaanzie kwako mkuu,,,!
 
Inawezekana hiyo harambee imeandaliwa na Mengi. Si unajua tena wachaga wameamua kuungana kutengeneza kiota chao!!! Wakuwasikitikia ni wale wenzangu na mie wasiojitambua na kuamua kuijenga empire ya kazkazini wakati kwao kusini. Yani ni sheedah...

Ni bora kuungana na hiyo empire ya Kaskazini inayoweza kuja kutukomboa na unyonyaji mnaotufanyia nyinyi MAJIZI.. Kwan CCM ni ya ukanda upi, maana kwetu Nyanda za Juu Kusini inaleta giza tuu.. Kwanza una umri gani wewe km ni kijana unatia aibu kuwa na mawazo ya kiajuza!!
 
Siyo kweli vyama vyote vya siasa vinaweza kuhojiwa na wananchi sababu vinapewa kodi zetu kama ruzuku labda hiyo sheria ifutwe ya ruzuku ndipo watu wasihoji.

Unarusha ngumi hewani tu hii serika ni ya CCM ndiyo maana mnatokwa na povu.

NEC wanayopanga ndiyo yanayofuatwa na serikali.

Hapa tunazungumzia ruzuku au harambee? Mbona unachanganya mambo mkuu! Kuhusu hilo la kuwa serikali ni ya CCM ok sikupingi ila utakubaliana nami kuwa kushindwa kwa serikali hii katika nyanja mbalimbali ndio kushindwa kwa CCM?
 
Leo 31 Oktoba, 2014 kuanzia saa tatu kamili usiku CHADEMA itakuwa live ITV ikikuletea mapunduzi ya teknolojia kwenye siasa kwa kuzindua huduma 3 muhimu ambazo utakuwa na uwezo wa kuzipata na kuzitumia kupitia simu yako ya mkononi mahali popote ulipo. Huduma zitakazo zinduliwa leo.

1. E-Membership, hii itakuwa huduma ambayo mwanachama atakuwa na uwezo wa kujisajili mwenyewe kwenye mfumo maalumu wa kiteknolojia kwenye chama na kuweka taarifa zake kwa kutumia simu ya mkononi, ikiwa ni pamoja na kuweka picha na kupata taarifa kuhusiana na uwanachama wake.

2. Chadema media (chadema 3.0), hapa kupitia simu ya mkononi (aina yoyote) mwanachama, mpenzi au mfuasi atapata taarifa za motomoto kutoka kwenye vyanzo sahihi ndani ya chama kuhusu maswala mbalimbali yanayo husu chama. Atapata kujua ratiba ya matukio na mahali yanapofanyika, yapi yanatarajiwa na kwa wakati upi, kimsingi chadema media itakuwa moja ya vyanzo vikubwa vya taarifa/habari muhimu anazo paswa kuzipata mtanzania ili kuibua na kukuza ufahamu wake kwa maendeleo endelevu ya taifa letu.

3. Fundrising, hii itakuwa huduma ambayo kupitia simu ya mkononi, visa/master card na huduma nyingine za kibenk mwanachama, mfuasi au mpenzi wa chama atakuwa na uwezo wa kukichangia chama kiasi chochote cha fedha kwa namna anavyo ona ina mfaa akiwa ndani au nje ya nchi. Hupaswi kupanga kuikosa, ni kupitia kituo cha ITV kuanzia saa tatu usiku hadi saa tano kamili usiku matangazo ya moja kwa moja (Live) kutokea ukumbi wa mikutano wa Serena Hotel.

Ungana na mamilioni ya watanzania watakao kuwa wanatazama ITV kwa muda huo, kuwa sehemu ya mabadiliko, wajulishe wengine nao wasipitwe maana siya kukosa.

Tumeanza na Mungu, tuko na Mungu na tutaendelea na Mungu.

Mpaka kieleweke.
 
Inawezekana hiyo harambee imeandaliwa na Mengi. Si unajua tena wachaga wameamua kuungana kutengeneza kiota chao!!! Wakuwasikitikia ni wale wenzangu na mie wasiojitambua na kuamua kuijenga empire ya kazkazini wakati kwao kusini. Yani ni sheedah...

umeishiwa sera kijana
 
Ni bora kuungana na hiyo empire ya Kaskazini inayoweza kuja kutukomboa na unyonyaji mnaotufanyia nyinyi MAJIZI.. Kwan CCM ni ya ukanda upi, maana kwetu Nyanda za Juu Kusini inaleta giza tuu.. Kwanza una umri gani wewe km ni kijana unatia aibu kuwa na mawazo ya kiajuza!!

kaxhazoea rchmond+vjxent na zngine ishirin zilzoko mahakaman. badilka, CCM NI MCHWA wanakula kamba na fito
 
Piga kazi Chadema ila naomba pia msisahau kutoa kauli juu ya kinachofanywa mtaani na ccm kuchukua majina ya watu kwa siri kuwapiga picha na zoezi kufanywa kimyakimya n.k kwa ajiri ya sm
 
Mkuu huyo keshalewa konyagi

hivi kama ikitokea ni kwel hiyo saa tatu, mlevi atakuwa nani kati yake na wewe? Kwa sababu matangazo yapo kwel toka Jana mchana lakini ww kituo chako si TBC!?
 
Siyo kweli vyama vyote vya siasa vinaweza kuhojiwa na wananchi sababu vinapewa kodi zetu kama ruzuku labda hiyo sheria ifutwe ya ruzuku ndipo watu wasihoji.

Unarusha ngumi hewani tu hii serika ni ya CCM ndiyo maana mnatokwa na povu.

NEC wanayopanga ndiyo yanayofuatwa na serikali.
Vyama visivyo na wabunge kama DP na kile cha Dovutwa navyo hupewa ruzuku?
 
Back
Top Bottom