Yaliyojiri Harambee ya CHADEMA live ITV - Oktoba 31, 2014

Yaliyojiri Harambee ya CHADEMA live ITV - Oktoba 31, 2014

Prof J amefilisika kimawazo

...nambari waniiiiiiiii


ccm-chid.jpg
 
sa 5.13 usiku
jumla ya mpesa iliyochangwa ilikuwa milioni 6, 780,000tsh
pesa cash zilikuwa milioni 100

asanteni sana
 
Acha wehu....umeambiwa kuna mtu amelimbikiza madaraka hapa hadi ufananishe na Bukinafaso?
Usiwe mvivu kiasi hicho jifunze kufuatilia habari na sio kusikia habari..............bla....fu..k you..
 
Wana jamvi katika screeni walio changia chadema jina la wema sepetu nimeliona,hongera sana mshauri na diamond achangie chadema
 
Baadhi ya simu ni ngumu kuipata herufi 'M' Ili kutengeneza m4c. Ingawa ni huduma nzuri!
 
Mbowe kadanganya umma eti wana wanachama milioni 5 ha ha ha ndoto za watoto hizo
 
wajinga ndio waliwao. Naona Dr.Slaa a Nahitaji mkono na kwenye halina za cdm ni patupu
 
Nimechangia laki 3 ahsante Mungu .....Chadema lazima ichukue nchi kiukweli
 
Back
Top Bottom