Yaliyojiri Harambee ya CHADEMA live ITV - Oktoba 31, 2014

Yaliyojiri Harambee ya CHADEMA live ITV - Oktoba 31, 2014

Tulia basi mkuu uandike vitu vya kueleweka? Chadema mna akili gani hizi?
 
je hizi pesa tunachangishwa hazitoliwa kama zile tuzochangishwa siku za nyuma?
 
Mimi nimetoka Dodoma, na niko ndani ya ukumbi.

System ya ccm iko vizuri sana jamani ndani ya Tanzania.
kwahiyo unataka tukusaidie nini?? huna ulichofata hapo zaidi y umbea, tulia upewe chakul cha ioni ukalale
 
Kwa elimu MULUGO kamwe huwezi kuelewa hiyo kauli ambayo ina uzito mkubwa sana.

Tulia basi mkuu uandike vitu vya kueleweka? Chadema mna akili gani hizi?
 
mfumo waaliyetayari kuchangia ataweza hata kufuatilia alichochangia, akitaka kutajwa atajwa na kaisi chake, akitaka kiwe siri basi kiwe siri, wataheshimu hilo hawatakutangaza

Mkuu Einsten nakupa heko sana kwa upande wa Updates uko vizuri sana Kamanda watu kama nyie wamepungua sana hapa Jamvini Kwakweli Jukwaa hili tunapaswa kulinda hamasa yako na uwezo wa Ku-Update

Hongera sana Kamanda.. Keep on....

Hakuna kujibishana na takataka yoyote ya Lumumba maana wao wako hapa kwaajili ya kuvuruga uzi tu, hawana lolote la maana maadam kuchafua hali ya hewa kwa matusi na kila aina ya kejeli. Ukimjibu mtu wa namna hiyo unampa umaarufu na kudhani kwamba anaongea point

Nimependa the way you are Updating, yaani unatoa kile ambacho mzungumzaji anakitoa mengine unawaachia wachangiaji. Heko sana..!!!

BACK TANGANYIKA
 
Last edited by a moderator:
Wewe mburura kweli!!!! gharama za rais kwenda China kupewa uprofesseri kiasi gani?
Gharama zs kukimbiza mwenge nchi nzima shilingi ngapi?
Chadema hawaongozi serikali na hawana mkataba na watanzania kuwapa huduma hizo hadi mwaka 2015.

Leo unaw.a.shwaaaaa.....kila kona ngoja na hii wanaifuta sasa.

Mmeshikwa pabaya!! Najua Ifweero hapo ulipo usingizi umegoma kwa maumivu ya moyo. Sio nyie juzi kati Idara yenu ya uenezi imepitisha bajeti ya TShs Bilioni 3?? Tulia upewe dozi upone. Hata ukilia, bakora lazima ucharazwe

Kwahyo ccm mnakiri nchi hii kuna watanzania wanakufa njaa, wanakosa huduma za matibabu n.k?
Mukulu ashasema akiwa China kwamba kachoka.

Kamasi zimemjaa kichwani mtoa mada......loooo!! EsCrOr,ePa,KaGoDa n.k alafu kuzulula kwa kikwete gharama hazijui ila za chadema mnazijua...T*KO kweli mtoa mada

Akili yako ndogo sana DADA. Hivi umeshawahi kutumia (kununua madawati, n.k) bila kutafuta hiyo pesa ya kununulia hayo madawati? Umeshawahi kufaulu mtihani bila kusoma au kuhudhuria vipindi?

mtoa mada mburura katoroka milembe
MSALANI, Lizaboni, FaizaFoxy, gsu njoni muokoe jahazi.
 
Last edited by a moderator:
Kumbe chadema inaongoza dola na kukusanya kodi?


gharama inayotumika kurusha matangazo ya chadema itv na vyombo vingine vya habari kwa saa moja ni sawa na kununa madawa ktk hospitali za rufaa na wilaya kote nchini. Ni sawa na kujenga shule 20 za sekondari kusomesha yatima na maskini nchini, je chadema haina uchungu kwa watz wanaokosa elimu kwa kukosa shule? Wanaokufa kwa kukosa madawa? Kweli hii ni timu madaraka
 
Hizo hela wanajichangia wenyewe hawana jipya matapeli hao

Kuna huyo mwenye Samsung chakavu sijui mnyika mbona hajatuonyesha alichochangia??
 
Ndg yangu ifweero mbona hili tukio linaonekana kukuchanganya sana,jitahidi kujikaza moyo kiume.
 
Back
Top Bottom