Otorong'ong'o
Platinum Member
- Aug 17, 2011
- 39,183
- 28,874
Naona unakalili maneno ya mtu aliyekimbia umande
CCM matumbo juu....
Naona unakalili maneno ya mtu aliyekimbia umande
ni mapinduzi ya kweli ya kifikra
teh! teh! teh!Dawa inakuingia
Mkuu, hata mie nimeliona hilo. Hii inaitwa ni Uzinduzi wa Programu ya CHADEMA Mtandao, ila anachoongea Mbowe hakireflect kinachojiri leoProgramu za CHADEMA ni za kitapeli,
Ngapi zimeshapita na CCM bado imesimama imara?
Siku akili zikiwarudia mtagundua hili.
Hapo Lumumba na majumbani mwao
Mujiandae kisaikolojia atakapokuja mitaani...maana ni mlango kwa mlango, geti kwa geti..
Yeye anafanya kazi gani zaidi ya kurithi mali za baba yake?Mbowe, viongozi wa ukawa woote, wakafanye kazi kwa pamoja
amekwenda kuandaa mazingira ya kugombea ubunge huko tabora!Lipumba amekacha
Tulieni....Dr. Slaa amesema ndo tunaanza..Mkuu, hata mie nimeliona hilo. Hii inaitwa ni Uzinduzi wa Programu ya CHADEMA Mtandao, ila anachoongea Mbowe hakireflect kinachojiri leo
CHADEMA hamuwezi kuchukua nchi kwa kuwatumia wahuni kama akina SUGU.