kalagabaho
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,457
- 5,898
"Watanzania wamekuwa wakikosa kuwaamini viongozi wao kutokaka na kushindwa kusimamia rasilimali zao"
Yeye ameweza kusimamia rasilimali za wake za watu?
"Watanzania wamekuwa wakikosa kuwaamini viongozi wao kutokaka na kushindwa kusimamia rasilimali zao"
Gharama inayotumika kurusha matangazo ya chadema itv na vyombo vingine vya habari kwa saa moja ni sawa na kununa madawa ktk hospitali za rufaa na wilaya kote nchini. Ni sawa na kujenga shule 20 za sekondari kusomesha yatima na maskini nchini, je chadema haina uchungu kwa watz wanaokosa elimu kwa kukosa shule? Wanaokufa kwa kukosa madawa? Kweli hii ni timu madaraka
Kumbe hata wewe Unamkubali Mbowe kuwa ni Mjanja sana .........Hii E Movement ndo lengo la haya yote. Mengine ni geresha tu. mbowe ni mjanja sana
Gharama inayotumika kurusha matangazo ya chadema itv na vyombo vingine vya habari kwa saa moja ni sawa na kununa madawa ktk hospitali za rufaa na wilaya kote nchini. Ni sawa na kujenga shule 20 za sekondari kusomesha yatima na maskini nchini, je chadema haina uchungu kwa watz wanaokosa elimu kwa kukosa shule? Wanaokufa kwa kukosa madawa? Kweli hii ni timu madaraka
inputs za kina Salim Mwalimu itakuwa
Mimi nimetoka Dodoma, na niko ndani ya ukumbi.
System ya ccm iko vizuri sana jamani ndani ya Tanzania.
Gharama inayotumika kurusha matangazo ya chadema itv na vyombo vingine vya habari kwa saa moja ni sawa na kununa madawa ktk hospitali za rufaa na wilaya kote nchini. Ni sawa na kujenga shule 20 za sekondari kusomesha yatima na maskini nchini, je chadema haina uchungu kwa watz wanaokosa elimu kwa kukosa shule? Wanaokufa kwa kukosa madawa? Kweli hii ni timu madaraka
Anasifu ziara ya rais kikwete china
huku kwetu musoma CCM imekufa
unaacha kulala na mume wako unakaa unamuangalia mwanaume