Yaliyojiri Harambee ya CHADEMA live ITV - Oktoba 31, 2014

Yaliyojiri Harambee ya CHADEMA live ITV - Oktoba 31, 2014

Kwahyo ccm mnakiri nchi hii kuna watanzania wanakufa njaa, wanakosa huduma za matibabu n.k?
Mukulu ashasema akiwa China kwamba kachoka.
 
Tunawapa cdm siku tatu, hii system tutakuwa tuna access nayo bila shida.

Binafsi nilijua ni ishu ngumu kweli, uzuri TCRA ni wakwetu...so iko easy sana
 
unafikiri kwa kutumia sehemu ya kutolea mav.i kwa binadamu
 
Kamasi zimemjaa kichwani mtoa mada......loooo!! EsCrOr,ePa,KaGoDa n.k alafu kuzulula kwa kikwete gharama hazijui ila za chadema mnazijua...T*KO kweli mtoa mada
 
Uzinduzi unaanza
chadema tunaamini kilaa mtz anaweza kuwa kiongozi, chadema haiamini kuwa lazima uwe milionea ili uweze kuwa mbunge, ccm inadai nchi ni maskini, eti wanajiita mtoto wa kulima.. Hili ni matusi kwanini wakulima wawe maskini?/
 
Nimewadharau Sana wakaazi Wa mbeya mjini kwakuwachagua wahuni Kama akina sugu awawakilishe.....

Na hizo dua zao wanamkufuru tu Mungu
 
Gharama inayotumika kurusha matangazo ya chadema itv na vyombo vingine vya habari kwa saa moja ni sawa na kununa madawa ktk hospitali za rufaa na wilaya kote nchini. Ni sawa na kujenga shule 20 za sekondari kusomesha yatima na maskini nchini, je chadema haina uchungu kwa watz wanaokosa elimu kwa kukosa shule? Wanaokufa kwa kukosa madawa? Kweli hii ni timu madaraka

Kwani CHADEMA inakusanya kodi wap?Mwenye jukumu hilo ni serikali yako ya CCM.
 
CHADEMA zile fedha za M4C mlizochangisha pale NAURA SPRINGS HOTEL zilipelekwa wapi? Mbona CHAMA kina madeni kila kona?
 
Uzuri ndani ya huu ukumbi, vijana wa ccm tupo na tunafanya kazi yetu vyema.
 
teh teh, hiyo ndo cdm bhana!

kuna mmoja nimejaribu kupiga picha kadhaa. nitamtafuta kwa udi na uvumba. watoto wadogo-wadogo warembo sana! ingekuwa ccm hapo ningeambulia sura za ki-bibi, lol.
 
Back
Top Bottom