Akili yako ndogo sana DADA. Hivi umeshawahi kutumia (kununua madawati, n.k) bila kutafuta hiyo pesa ya kununulia hayo madawati? Umeshawahi kufaulu mtihani bila kusoma au kuhudhuria vipindi?Gharama inayotumika kurusha matangazo ya chadema itv na vyombo vingine vya habari kwa saa moja ni sawa na kununa madawa ktk hospitali za rufaa na wilaya kote nchini. Ni sawa na kujenga shule 20 za sekondari kusomesha yatima na maskini nchini, je chadema haina uchungu kwa watz wanaokosa elimu kwa kukosa shule? Wanaokufa kwa kukosa madawa? Kweli hii ni timu madaraka
we ni kichaaInawezekana hiyo harambee imeandaliwa na Mengi. Si unajua tena wachaga wameamua kuungana kutengeneza kiota chao!!! Wakuwasikitikia ni wale wenzangu na mie wasiojitambua na kuamua kuijenga empire ya kazkazini wakati kwao kusini. Yani ni sheedah...
Punguza presha .......atachangia yeye na mama ake mzazi. wanachadema wamezinduka.
Umetumwa kufanya nini sasa .........
Mbowe ana hisia sana,kuna kitu Mungu amemzidishia
Ze Gambas wamejipanga kwenye huu Uzi utafikiri wao ndio wahusika wakuu wa huu mpango.....
Hivi kuna wajinga bado wanadanganywa na MBOWE na kutuma fedha zao?
Bye bye bye CCM....
Hela za CHADEMA ni kwa ajili ya CHADEMA. Hela za kununulia madawa na kujenga shule zimekusanywa na serikali kupitia kodi mbalimbali na rasilimali tulizo nazo. Hela hizo zipo hazina, na kama hazipo basi zimesafirishwa na wazee wa vijisenti kwenda Uswisi. CHADEMA wala haitakiwi kuchangia hata dawati moja kwa kuwa wafuasi wake tayari wameshakatwa kodi na wazee wa vijisenti wanalijua hilo! Ndio maana hata michango ya ujenzi wa maabara hatutachangia kwa kuwa tayari tumeshachangia kupitia kodiGharama inayotumika kurusha matangazo ya chadema itv na vyombo vingine vya habari kwa saa moja ni sawa na kununa madawa ktk hospitali za rufaa na wilaya kote nchini. Ni sawa na kujenga shule 20 za sekondari kusomesha yatima na maskini nchini,...
Bye bye bye CCM....