Yaliyojiri Harambee ya CHADEMA live ITV - Oktoba 31, 2014

Yaliyojiri Harambee ya CHADEMA live ITV - Oktoba 31, 2014

Mbowe anadhani watanzania wote ni wajinga kama misukule wa CHADEMA.

tutaipigia kura katiba mpya na hakuna NYANI yeyote kutoka UKAWA mwenye uwezo wa kuzuia hilo.

Huyu jamaa mjinga sana.


Tunachokifanya ni kutoa elimu kwa wananchi hakuna mtu atalazimishwa kupiga kura ya ndio au hapana dhidi ya katiba ya Sitta na CCM iliyoandikwa chini ya mzee wa vijisenti-Chenge.
 
1. Uzinduzi unaanza chadema inaanza kwa kujiandikisha kwa kutumia simu zao za mkononi
2. Uzinduzi wa chadema media, kitawasaidia chadema kupata taarifa yoyote kabla hata haijachakachuliwa
3. E-movement, namna gani tunawashirikisha wakereketwa kukichangia chama
 
Gharama inayotumika kurusha matangazo ya chadema itv na vyombo vingine vya habari kwa saa moja ni sawa na kununa madawa ktk hospitali za rufaa na wilaya kote nchini. Ni sawa na kujenga shule 20 za sekondari kusomesha yatima na maskini nchini, je chadema haina uchungu kwa watz wanaokosa elimu kwa kukosa shule? Wanaokufa kwa kukosa madawa? Kweli hii ni timu madaraka

Chadema hawakuwai kuwa na huruma na watanzania!
 
Aiisee huu mkakati ni kiboko magamba bye bye hizi mimi nazibatiza 3chafu
 
Hii E Movement ndo lengo la haya yote. Mengine ni geresha tu. mbowe ni mjanja sana
 
Mbowe anadhani watanzania wote ni wajinga kama misukule wa CHADEMA.

tutaipigia kura katiba mpya na hakuna NYANI yeyote kutoka UKAWA mwenye uwezo wa kuzuia hilo.

Huyu jamaa mjinga sana.

Msalani = choo
 
Ze Gambas wamejipanga kwenye huu Uzi utafikiri wao ndio wahusika wakuu wa huu mpango.....
 
Hureeeeee poleni magamba mwendo sasa ni wa tatu chafu
 
Back
Top Bottom