Otorong'ong'o
Platinum Member
- Aug 17, 2011
- 39,183
- 28,877
Tulia dada..Mkuu, mie nabaki nacheka tu. CHADEMA wanatumia ukawa kwa malengo yao. Soon akina mbatia watashtuka
Tazama..
Tulia dada..Mkuu, mie nabaki nacheka tu. CHADEMA wanatumia ukawa kwa malengo yao. Soon akina mbatia watashtuka
nccr mageuzi na cuf wamegomea kushiriki kikao chao
Umeona eeeeeh! Wanaboa sana akina Sugu.
Dr Slaa nimeona ana muangalia Mdada fulani hapo sijui kama hato sababisha vurugu kwenye harambee!
Bora msiangalie kabisa maana dr slaa anaongea pumba tu
Mkuu, mie nabaki nacheka tu. CHADEMA wanatumia ukawa kwa malengo yao. Soon akina mbatia watashtuka
Huyu babu anatamaa sana
Mmemlipa tsh ngapi mtaalam wa IT JosephineSasa ni uzinduzi wa,Teknolojia....
Daaaaaaah