acha kujifariji hata mrema alisukumwa na gari jangwani alipata nini!
ninachangia 750,000/= sasa hivi.....
Yule ni mgombea urais wa kudumu, naona unataka kumdhalilishaamekwenda kuandaa mazingira ya kugombea ubunge huko tabora!
Freeman anasema ukweli mtupu kuna wafanyabiashara wameiweka serekali ya ccm mfuko na mwisho wao unakuja soon
HATI yenye MASHAKA,ni unyonyaji huu,MBOWE anakikopesha chama,wengine wachangie duuuh