Yaliyojiri Harambee ya CHADEMA live ITV - Oktoba 31, 2014

Yaliyojiri Harambee ya CHADEMA live ITV - Oktoba 31, 2014

hahaha!! wanaboa for-sure, ila cha kufanya ni kuwacha kuangalia. mie nipo zangu chumbani nafuatilia mpambano JF. btw unamuonaje mke wa mbatia? uuh!! mrembo eeh.

twende pamoja ch ten.
 
Sugu leo ameingia akiwa amevuta bangi na kunywa gongo
 
Hata Wasira na CCM pamoja na wapiga domo wake wooote walisema Chadema itakufa kabla ya uchaguzi wa 2015,sababu ya muunganiko wa vyama hivi ni ngumu sana kuvunjika kwa dhana kama hizi zako.

Vinakufa tu mara baada ya uchaguzi no chagadema.
 
hahaha!! wanaboa for-sure, ila cha kufanya ni kuwacha kuangalia. mie nipo zangu chumbani nafuatilia mpambano JF. btw unamuonaje mke wa mbatia? uuh!! mrembo eeh.


Mkuu inamaana hauoni chochote zaidi ya wake za watu !!!?.
 
CHADEMA hamuwezi kuchukua nchi kwa kuwatumia wahuni kama akina SUGU.
 
Hi ni kweli kwamba nchi hii inaweza kuongozwa na akina Sugu na Professor J?
 
Back
Top Bottom