Yaliyojiri Harambee ya CHADEMA live ITV - Oktoba 31, 2014

Yaliyojiri Harambee ya CHADEMA live ITV - Oktoba 31, 2014

Vuta subira mkuu utachangia tu ila omba mungu tanesco wasishinikizwi na lumbumba kutunyima fursa hii ya kihistoria

Hapa mwanza tayari umekatwa sasa hivi saa2 na dk 23inatisha hii hali aisee.
 
Hivi umeme unavyokatika kila siku maeneo tofauti ya Tanzania ni kuhujumu Chadema, mimi nipo Karatu umeme upo na ninasubiri kuangalia harambee ya Chadema.

huwa tuki sema mgao wa umeme bado upo mnabisha haya sasa leo una kiri mbele ya jf kua bado tatizo la umeme kukatita katika ni sugu.
 
Chama cha wazalendo kitachangiwa na wazalendo wa nchi hii.

Ppozzzzzxxxxxxx
 
Hivi umeme unavyokatika kila siku maeneo tofauti ya Tanzania ni kuhujumu Chadema, mimi nipo Karatu umeme upo na ninasubiri kuangalia harambee ya Chadema.

unaipenda chadema! Juzi ulijua kuwa mbowe yupo HAI leo unasubiria HARAMBEE YA CDM. Hongera.
 
Ndoa ina wiki tu Chadema wameshaanza ubaguzi
 
Ha ha ha mkuu umenipa raha sana! Hayo mambo yalifanyika enzi za kupigania uhuru. Wakati huo mtu kujitolea nyumba yake kwa matumizi ya TANU wala haikuwa jambo la ajabu bali ni hamasa tuu. Sasa kama hamasa hiyo imerudi maana yake ni kuwa ukombozi wa pili umekaribia. Ngoja nami niijaze account yangu ya Mpesa nisubiri wakati tuu. Unapiga laki unatulia kidogo, hamasa ikipanda unatwanga laki mbili tena na mzuka ukipanda hapo ndio usiseme.
Ngoja nikatwange Kinana zangu kadhaa ili mzuka upande vizuri bila chenga.

mkuu una utani na ndovu ??
 
Hivi mkurugenzi wa tanesco.sasa hivi anaitwa nani?
 
Ndoa ina wiki tu Chadema wameshaanza ubaguzi

Aliyekwambia kuwa vyama vinavyounda ukawa vimekufa nani? Mtaendelea kuonekana vilaza hadi lini ninyi maccm? Mwambieni nepi awarudishie akili zenu
 
Back
Top Bottom