Kwa hiyo kipindi kitarushwa toka Karatu?
Hatusikii sauti imekua kama drive in cinema
ITV mimi nipo hapa ukumbini lakini nimepokea taarifa matangazo hayana sauti fanyeni juu chini watanzania wasikie kinachoendelea!
Kweli hata mm Siskii nilidhani tv yangu mbovu......
Tunakosa utamu sbb sauti hakuna
Hata mimi kwangu sauti hamna kabisa.mimi kwangu hakuna sauti kabisa