Yaliyojiri Harambee ya CHADEMA live ITV - Oktoba 31, 2014

Yaliyojiri Harambee ya CHADEMA live ITV - Oktoba 31, 2014

Badala ya umeme wameamua kuingilia mawasiliano no sauti
baada ya kuona mmeshtukia watakata umeme

Yaaah nikweli kabisa sauti hamna tena hii imetokea baada ya taarifa ya Habari Duh!
kwa wale woote wanaotumia Decoder za startimes kwenye Remote yako Angalia neno TRACK uki> utaona Stereo, Left na Right
basi jaribu kuchange hapo utapata sauti japo si nzuri sana

sjui kwa decoder zingine mtajiongeza !!!
!

Umetoa muongozo sahihi mkuu ,digitek wapo vizuri sauti ipo clear na tupo pamoja.
 
Duh! nipo live ITV from serena makamo mwenyekiti zanzibar anashusha sijui dua, itikafu lazima CCM watapotea tuuu kwa dua lile big up sanaaa makamo
 
Ni muda wa duaaaa

baada ya makamu wa mwenyekiti.. Zanzibar
sasa anafuata mchungaji msingwa.. Anasali

ameeen
 
Salumu mwalimu

chadema anasema tunaposema tunaanza na mungu tunamaliza na mungu, ndio maana mungu anakilinda, chama kinaimarika na ukawa inaimarika

chadema inasonga mbele, hatuichukii ccm kwa jina bali kwa matendo yake
 
Dr slaaa anakuja kutoa kutoa updates chama kilipokuwa na kilipo
anaanza kwa salamu
kwa peopleeeeeeeees
peopleeeeeees
ukawaaaaa..........
Ukawaaaaa..............
 
Likiwa limebaki saa moja watanzania washuudie jambo la kihistori live kupitia ITV sio jambo jingine ila ni harambee ya CHADEMA itakayofanyika leo tarehe 31/10/2014 katika ukumbi wa Serena Hotel na kurushwa live kwa saa 2
Kuna aina flani ya kihujuma kimepangwa na Tanesco chini ya usimamizi wa ccm kuhakikisha watanzania hawashuudie jambo hili kwa wingi!
Mimi binafsi nipo maeneo ya mwenge lakini umeme umekatwa turipoti hapa kwa pamoja tuweze kujuwa kama hujuma hii imefanikiwa au la chakufanya wewe weka ushauri wako hapa kwa tanesco na serekali yao ya ccm then tujuze kuhusu huko ulipo kama wamehujumu kwa kukata umeme au unashuudia jambo hili jema kwa taifa letu!.


Pole sana kamanda usijali tunarecord na tutatupia katika mtandao huu huu nanyi mtapata kusikia ni kitu gani kiliendelea pole sana
 
Dr slaaa
anamushukuru mungu kwa kuweza kuwakutanisha ukawa woote, na watz woote kwa kuwajumuisha kupitia tv
anaamini kwa kumtegemea mungu, mungu anabariki maoni, mawazo, na yale yoote watz wanawaza na wanafikiri kwa nia njema, mwenyezi mungu utubariki soote

anamtambulisha mama slaaa
anasema wale wanaosema amepokwa, basi wakaandike tena maana aliyepokwa huwa hatambulishwi hadharani sasa yeye anamtambulisha
 
Back
Top Bottom