Filipo
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 9,347
- 5,553
Ah,wacha nikalale zangu,hili lisredi lenu linakimbia utafikiri Punda aliyepakwa pilipili kunako..........mimi limenishinda...
Pole sana! Kwa kazi zako za usiku, lazima ukalale saahizi!
Ah,wacha nikalale zangu,hili lisredi lenu linakimbia utafikiri Punda aliyepakwa pilipili kunako..........mimi limenishinda...
St. Paka Mweusi,
Erickb52,
trachomatis,
Kabakabana,
Kwa herini tutaonana mda mfupi ujao.
Nawapenda wooote.
Hata makucha utayazoea tu.....
hao wa bavaria ndio wabaya utajua ni msafi kidogo kumbe ni mbwa koko..
Teh ila hadi uende club lazma ujibebee hata vidolali vya kutosha kidogoWengine wanakunywa bavaria ili waonekane wapo juu...ukijiroga kumuingia tu,hutakiwi kucheza mbali na vinywaji vya bei hiyo. Sasa kama umekuja na tshs zakutoshea soda lazima ujute!!!
teh teh vipi nicas?mbona unashtuka kikwetu?
jibu kwanza ujibiwe.Mpambano wa watu wawili wee unataka kuingilia kama nani?lol., Au mshindano umekuwa wa mapaka wote?
Kwani CC ni ya watu wawili?
Acha mawazo yako ya kijuha wewe.
Ndo nyie mnaofukuza watu jukwaani eti kisa mpo watu wa Arusha ktk thread.
hahahahahahahahaha Arusha imetokea wapi sasa? Inaelekea inakunyima sana usingizi
Nasubiri umkague kwanza siwezi kukiuka taratibu..
Hata hivyo sijawahi kuwa na interest na hao watu na sitaweza hata siku moja....!
Mi huwa naenda zangu hasa nikiboreka tu kama jana na nilikuwa mwenyewe coz Filipo Mungi LiverpoolFC na IGWE walikuwa mbali nikaona uvivu kuwafuata!
Vumilia tu nimeshakwambia utawazoea tu,nipo na wewe usiogope