Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,355
Si ndio maana mimi nimeishia kucheka tu,ni Erickb52 huyuhuyu ninayemfahamu mimi au kaazimisha password yake kwa mtu
Umeona eh? Huyu dogo na machangu ni sawa na Padre na Sakramenti afu anatuletea uzushi wake hapa.
Afu oyaaa kuna linyau lenzio linaitwa St. Paka Mweupe liko on heat linatafuta bwana. Umeliona au ndo ushazeeka tena?
Last edited by a moderator: