Yaliyojiri Club na Erickb52

Yaliyojiri Club na Erickb52

nimemsahau filipo tena yeye angekuwepo hapo angekufanya ugande na kumkosea Muumba wako bure si yeye amesema umalizie au sio yeye?
 
club huwa hawapelekwi nenda mwenyewe acha kumsumbua kaka yangu atuache peke yetu home akupeleke wewe kwa lipi unalomlipa wewe badili tabia? hakuna na nitamkatalia asikupeleke ni bora anipeleke mm huko club kuliko wewe weeeee !!
 
Mr. Rocky unampakazia kaka yangu bure ana mtu huko na alikwenda yeye peke yake kwani ssisi nduguze home tunajua kabisa wewe acha kumpakazi kaka yangu bure tena acha hiyo tabia nitakuchukulia sheria na kufungua jalada lako wewe hata kama kaka yangu erickb52 ni mkimya mm nitado kwa ajili yake weee!!
 
Last edited by a moderator:
Uliona wapi ndugu wakitakana hee wewe secretary una maajabu wewe!! asa mm kaka yangu nimtake kivipi we koma kabisa acha kutusambaratisha sisi ni ndugu weeeeeeeeee! na anaye best wake akikusikia unasema hapa haya yatakutokea puani wewe
 
nimemsahau filipo tena yeye angekuwepo hapo angekufanya ugande na kumkosea Muumba wako bure si yeye amesema umalizie au sio yeye?
Heheheheee ndio maana niliwatosa jana Filipo na wenzake sio wema kabisa labda kama marejesho angekuwepo pia
 
Last edited by a moderator:
labda wewe unayewataka watu kwani hata hiyo picha yya avatar yako nimchina yaelekea unamzimikia kaka yangu basi umegonga mwamba anaye wake sasa hapo haunalo umebugi womeeeen
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom