ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,758
- 9,589
haaaaaaaaaaa SECRETARY UMEBUGI kwa kwa kawa kwaaaaaaaaaa
The secretary acha wivu mwache anitake tu
Mr. Rocky unampakazia kaka yangu bure ana mtu huko na alikwenda yeye peke yake kwani ssisi nduguze home tunajua kabisa wewe acha kumpakazi kaka yangu bure tena acha hiyo tabia nitakuchukulia sheria na kufungua jalada lako wewe hata kama kaka yangu erickb52 ni mkimya mm nitado kwa ajili yake weee!!
Mr Rocky sio kila mtu ana chuki na mimiladyfurahia naona umeamua kumtetea Erickb52
Dah kweli umeamua ila huyu ni ndugu yangu sana na mengi ya kwake nayajua na kwa taarifa yako jana aliondoka na mtu jana na ninajua mpaka alipoenda kumaliza mambo yake.
Hehehee siunajua mabikra huwa wako vizuri sana kwenye makitu The secretary ?nilishakuambia we si bikra haunitishi kwa lolote
Achana nao hawana jipya hao!basi kuna mtu anasema wewe sio kaka yangu na wakati wewe ndo ulitoka duniani wa first na kisha sie ameniuzi ni secretary huyo
acha hivyo wewe hana mtu kaka yangu acha kumpakazia jamani nyie mnamkosea muumba jamani na ndo mana post kitu kule kwamba nyie wanaume ni wambeya sana hata erickb52 akitoka na mtu kuna ubaya gani acha hiyo tabia ya kupakana matope bhana Mri Rocky