CUTE
JF-Expert Member
- Mar 5, 2012
- 1,230
- 591
kaka yako bado sana kujitambua mpaka atakapoweza kutofautisha vitu ndio atakua mwana sasa mana saivi hafai mana hawezi kutofautisha vitu so anaweza siku akajifanya kasahau na kwenda kwingine kisa hawezi kutofautisha ....aggggggggr!sasa hii ni kali CUTE yaani umeona utuonyeshe mambo haya bhana
hapana chezeya Erickb52 yy haoni tofauti yoyote kila kitu kiko sawa tuuuuuuuuuuuuu
Last edited by a moderator: