Yaliyojiri Bungeni leo: Februari 2010

Yaliyojiri Bungeni leo: Februari 2010

ngoja hizi ripot zije,tuone kama kuna chochote...
INachekesha sana.
Anawaambia wabunge wasiwe na Pressure wakati yeye ndo mwenye pressure ya juu kuliko wengine!
Hizi ripoti zinaweza kuwa na ukweli wowote(kama Richmond), thats doubtless, lakini shida huwa ni ni utekelezaji wa mapendekezo yake.Hapo ndo utaona vigugumizi vya ukubwani vikiwashika hawa mandugu!
 
Hili siyo Bunge. Ni kijiwe cha watu wanaodhani siasa ni kazi yao tu.

Angalia spika anavyozungumza, wabunge wanavyozungumza na hata mawaziri wanavyojibu maswali.

Wooote ni kwa mtindo wa kuchekesha na ushabiki. Sehemu kubwa ya muda inapotea kwa kutambulisha watoto, ndugu na hata vimada wa wabunge.

 
Hili siyo Bunge. Ni kijiwe cha watu wanaodhani siasa ni kazi yao tu.

Angalia spika anavyozungumza, wabunge wanavyozungumza na hata mawaziri wanavyojibu maswali.

Wooote ni kwa mtindo wa kuchekesha na ushabiki. Sehemu kubwa ya muda inapotea kwa kutambulisha watoto, ndugu na hata vimada wa wabunge.

Hili nalo jambo!
 
Hili siyo Bunge. Ni kijiwe cha watu wanaodhani siasa ni kazi yao tu.

Angalia spika anavyozungumza, wabunge wanavyozungumza na hata mawaziri wanavyojibu maswali.

Wooote ni kwa mtindo wa kuchekesha na ushabiki. Sehemu kubwa ya muda inapotea kwa kutambulisha watoto, ndugu na hata vimada wa wabunge.

Hao ma miss continental wamefuata nini bungeni? Tunajua Bunge letu ni mchezo wa kuigiza, ila sasa naona wamezidisha mzaha!
 
Mode, hii ilikuwa jana. Leo taarifa hizo zimetinga bungeni. Hivyo siyo breaking news tena.
 
hadi leo ulikuwa hujaaamini??? sasa ulikuwa unafanya nini humu jamvini??????///

Tukubaliane kutokubaliana si kila usikilalo, unalolisoma uliamini hata kama ni ujinga na unajua ni ujinga uamini maadam umo jamvini ni upumbavu. Akili ni nywele kila mtu ana zake kuwa mvumilivu
 
Hata lisipo Hairishwa unadhani hiyo Ticks,na Richmond itajadiliwa?? Haaaaa!!! Bongo tambarare....Ijapojadiliwa unadhani kuna mtu atakaye wajibishwa?? Ulisha wahi kusikia wapi mtoto akimwajibisha baba?? Sahau..hizo ni "Issue za wakubwa"..hapajadiliki wala hawajibishwi mtu hapo..hupooooo!!
 
Bunge ni mradi wa watu wa kutafuta fedha za kutengeneza maisha yao, na sio kushughulikia matatizo na kero za Wananchi wa Tanzania.
 
Hili siyo Bunge. Ni kijiwe cha watu wanaodhani siasa ni kazi yao tu.

Angalia spika anavyozungumza, wabunge wanavyozungumza na hata mawaziri wanavyojibu maswali.

Wooote ni kwa mtindo wa kuchekesha na ushabiki. Sehemu kubwa ya muda inapotea kwa kutambulisha watoto, ndugu na hata vimada wa wabunge.

Hili pia linahusu. wageni wengi sana na lazima watambulishwe...kama juzi hapa walikuja viongozi wa CCM wa wilaya nzia anakotoka Ngeleja,na pia Magufuli. Sijui ni mkakati wa kampeni ama vipi. Ni nani analipa gharama zao za malazi na usafiri? je hawa wataweza kweli kumyima kura atakapotaka tena ubunge?
 
acha ncheke mie----------hii leo imenichekesha,

lakini kwenye hoja na utani upo jamani-----------
 
Hili pia linahusu. wageni wengi sana na lazima watambulishwe...kama juzi hapa walikuja viongozi wa CCM wa wilaya nzia anakotoka Ngeleja,na pia Magufuli. Sijui ni mkakati wa kampeni ama vipi. Ni nani analipa gharama zao za malazi na usafiri? je hawa wataweza kweli kumyima kura atakapotaka tena ubunge?

Hili sio swali kaka, nji hii si uchumi ni siasa, wizara zao labda zina mafungu ya wageni-------hujui takrima nini?
 
wakulu hili bunge lina vituko

Hivi punde Mh Spika amewatahadharisha wabunge wasiwe na homa sana ya uchaguzi,

na kwa kutoa mfano akasema kuwa kuna mbunge mmoja kamwandikia barua akimwita "Madam Speaker'

Amewapa matumaini kama wameandikiwa , wamendikiwa tu.

Sasa je ni kweli kuwa homa ya uchaguzi imepanda kiasi hiki wa wabunge? Si inaathiri hata uchangiaji wao wa hoja na hata maswali wanayouliza serikali kwa kweli mengi unakuta yameelekezwa kwenye majimbo yao na machache sana yenye kugusa masuala ya kitaifa...

Sijui lakini ni mtizamo wangu tu.

Hiyo niliyoweka kwenye red, inawezekana mwandishi wa barua hiyo alikuwa anamplekea naibu spika mama Anna Makinda.
 
Muda mfupi uliopita bunge lilihitimisha mjadala wa richmond, huku wabunge wote wakiunga mkono hoja hiyo. hata hivyo samweli sita amemuonya vikali mbunge wa igunga rostam aziz kuacha umbumbu wake wa kutaka eti iundwe jopo la majaji watatu kupitia mapendekezo ya bunge kuhusu richmond.
ameonya vikali kuwa kama ataendelea kuzungumzia jambo hilo then atatumia vilivyo kanuni za bunge dhidi yake

aidha amemkumbusha rostam kuwa alikuwa na hiari kulileta upya swala la richmond ndani ya mwaka mmoja na kuwa muda huo sasa umepita,hivyo kwa vyovyote vile hana mamlaka tena kisheria kuzungumzia jambo hilo.
 
Muda mfupi uliopita bunge lilihitimisha mjadala wa richmond, huku wabunge wote wakiunga mkono hoja hiyo. hata hivyo samweli sita amemuonya vikali mbunge wa igunga rostam aziz kuacha umbumbu wake wa kutaka eti iundwe jopo la majaji watatu kupitia mapendekezo ya bunge kuhusu richmond.
ameonya vikali kuwa kama ataendelea kuzungumzia jambo hilo then atatumia vilivyo kanuni za bunge dhidi yake

aidha amemkumbusha rostam kuwa alikuwa na hiari kulileta upya swala la richmond ndani ya mwaka mmoja na kuwa muda huo sasa umepita,hivyo kwa vyovyote vile hana mamlaka tena kisheria kuzungumzia jambo hilo.

Spika ni kaka mkuu sio mwalimu mkuu, kama hujajua ndio ujue
 
Wanabodi inabidi niombe tena msamaha maana ya jana yajirudia leo, Kikao cha usiku huu, kimeahirishwa ghafla leo kama jana, baada ya kuwasilishwa kwa taarifa mbili za uendeshaji usiridhisha wa RITES NA TICKS.

John Cheyo katoa hoja hakuna serikali ilichotekeleza, hivyo tunadajili nini.
Spika akaikubali hoja ya Cheyo, akamuuliza Mwanasheria Mkuu, ambeye aliridhia serikali haitafanya kitu, hivyo taarifa hizo zitaletwa yena bungeni kikao kijacho.

Hivyo Spika Sitta akatangaza kuliahirisha bunge mpaka kesho saa 3 asubuhi kutokana na kutokuwepo kitu cha kujadili.

Du Bunge Hili!.

Nimetoka hapa nje, Marine Hassan Marine, anapiga vox pop za kufa mtu hapa nje kwa kuwahoji watu mbalimbali, yaani natamani kupata nafasi nitoe dukuduku langu.
Amemhoji Hamad Rashid, John Cheyo na Dr. Will Slaa na Ole Sendeka.

Wote wamepiga nyundo baada ya nyundo kwa serikali.

Hivi nikitoa my honest opinion kuwa serikali hii, ni most failure, nitakua ninaionea serikali yetu tukufu?.
 
kuna nini huko bungeni? mie nimesema hakuna viongozi nchi hii ambao wanaweza kutatua matatizo makubwa ya nchi hii.hivi nani aliwaambia kuwa kiongozi wa nchi ni "free ride" ya maisha bora binafsi?

wengi wao walijua kuongoza nchi sawa sawa nakuongoza duka la peremende kwamba unatizama mafanikio yako tu.
 
Back
Top Bottom