Yaliyojiri Bungeni: Ijumaa, 28 Novemba 2014 (Hatma ya Sakata la Tegeta Escrow Account)

Jk amehakikisha harudi TZ hadi bunge liishe. Ndo maana Makinda alikuwa anajitahidi amalize jana. Sababu kubwa ni kuwa JK hataki kubadili baraza la mawaziri wala kuwawajibisha Watuhumiwa. Pia hata PM angeazimiwa kuondolewa ingekuwa ngumu kumtoa maana PM lazima athibitishwe na bunge baada ya uteuzi. Na mwisho wa bunge ni leo. Hivyo hili jambo lilipangwa vizuri sana na JK, Makinda, Judge Mkuu na Viongozi wa Chama chake.
 
nimeani kipimo cha akili ya mtu sio usomi wa vyeti tu,bali uwezo wake wa kutafakari mambo na kuja na maamuzi ya haraka ya mtikisiko.kamanda wa anga mh mbowe umefaulu ktk hili.wewe ni genious.

Wale wanaohangaika na C.V yake na waseme sasa
 
...JANA: Aggrey Mwanri, alisema; "madeni ya walimu wote nchini yaliyowasilishwa yanafikia Sh. bilioni 61.7 yakiwamo malimbikizo ya mishahara ya Sh. bilioni 44.17 na yasiyo mishahara Sh. bilioni 17.5."

Mytake: mbona sijawahi sikia malimbikizo ya posho na mishahara ya WABUNGE?


Nchi hii ni ya mazingaombwe, madeni ya walimu wote nchini yaliyowasilishwa yanafikia Sh. bilioni 61.7 (yakiwamo malimbikizo ya mishahara ya Sh. bilioni 44.17 na yasiyo mishahara Sh. bilioni 17.5); wakati tulizoruhusu ni Tshs 321 billioni ziibiwe kupitia akaunti ya Escrow!!!
 
Jana olesendeka ndio kaharibu mambo laa sivyo mh waziri mkuu alikuwa kapigwa pini mzuri miso wake ulikuwa mtamu maaana alishaelekea kibla walikuwa wanamsulubu yaani Leo tungekuwa tunazungumza mengine hapa
 
We funza hebu toa stori za Lusinde hapa na rudi MSALANI haraka

Kuna makundi Matano humo Bungei 1- wale wanaitaka Urais ambao wao wanataka Penda ang'oke ili atoe kiwingu . 2- ni Wale Walivuta Pesa kwa Mengi na mkono => hawa wanataka Mhongo na maswi wang'oke 3- wale ambao hajaambulia hata cent wao wana Uchungu na hasira kwa yeyote wanayesikia kavuta wao ni mwendo wa kufa na yeyote 4- Wamiliki wa mabenk nao wana watu wao humo na Ajenda zao 5- kuna kundi la wale ambao hawajielewi elewi hivi na Wale wajanja ambao wanevuta Pesa pande zote yaani kote kote kisha wamejikausha na pengine kukacha vikao. Kwa mantiki hii ni Vigumu kupata Ukweli juu ya sakata hilo la escrow Maana kuna kila aina ya Vioja na mbinu mbali mbali ndani yake.
 
Last edited by a moderator:
Jana olesendeka ndio kaharibu mambo laa sivyo mh waziri mkuu alikuwa kapigwa pini mzuri miso wake ulikuwa mtamu maaana alishaelekea kibla walikuwa wanamsulubu yaani Leo tungekuwa tunazungumza mengine hapa

Kwani mara ngapi serikali imekataa kutekeleza maazimio ya bunge? Mpaka leo kuna maazimio ya Richmond na kamati ya Jairo hayajatekelezwa. Dawa ni kumalizana bungeni..
 
Ndugu zangu mnaosoma site hii kama nchi hii itaendelea kuongozwa na vibaraka na makuwadi Wa mafisadi kama spika Anna Makinda basi hapa hakuna tena nchi Bali ni maradhi, uchafu, upuuzi ili mradi kila ghasia.

Upuuzi wa mama huyu mwenye sura mbaya mpaka roho yake ulianza toka kuteuliwa kwake kuwa Spika, na tayari wazalendo walishaang'amua na kusema pamoja na kuandika kuwa huyu mama ni janga la kitaifa. MTU aliependekeza mama huyu kuwa Spika hana tofauti na kutuwekea sumu watanzania tufe wote mafisadi wachume Mali. Na ndivyo imekuwa. Imefikia wakati mafisadi wanabeba pesa kwenye magunia.

Narejea mchango wa wabunge suala la Escrow siku ya Ijumaa kabla ya bunge kusambaratika. Wabunge walipendekeza Katibu Mkuu Nishati na Madini Eliakim Maswi asimamishwe uchunguzi ufanyike na ikibainika madhambi basi hatua zichukuliwe dhidi yake.

Ndugu zangu haihitaji hata certificate ya sheria za Kazi kulijua hili. Mfanyakazi yeyote anaetuhumiwiwa ofisini taratibu ni kuwa anapewa suspension kupisha uchunguzi. Sasa kama Maswi ni mtumishi wa umma, yeye anakuwa vipi tofauti na utaratibu huu mpaka Spika amtetee?

Watanzania bado tumelala ndio maana ushenzi huu unafanyika. Tuamke jamaniiiiiii hii nchi ni yetu si ya mafisadi jamani.

Spika jana anasema akiruhusu viongozi hao kuadhibiwa na Bunge, yeye Makinda atakuwa mgeni wa Nani. Huu ni upuuzi unaoweza kufanywa na viongozi wa Tanzania tu na kuendelea kuvumiliwa.
 
Wanaomlaumu Mbowe kwa kutokuwa na elimu ya kutosha sasa wanaona uwezo wake wa uongozi, kupitia Busara.

Anyways. Mtoa amda una point, Kesho wabunge wakubaliane kuwa wanaotajwa na kamati kama wanufaikaji wasishiriki kuamua muhtasari wa maamuzi ya bunge, na maazimio waliyochangia yawe Null and Void, Chenge yuko kwenye list ya watu 97, Werema yuko kwenye kutoa ushauri Mbovu.

Ifike muda basi wamuoambie muhongo nae atoe uamuzi wamfanye nini,otherwise wote wakae kimya wasubiri kunyolewa.

Pia nashauri BUNGE litumie precedence ya mawaziri na watendaji waliowahi kuwajibishwa huko nyuma na bunge kama kina ngeleja na Jairo.

Hivyo Makinda asilete habari za kusema mamlaka za uteuzi ziachiwe kutoa mapendekezo. huu ni ujuha. Mamlaka teuzi zinapokea mapendekezo kuyafanyia kazi full stop.


cc Zitto
 
Last edited by a moderator:
graph ya zitto ilishapanda kwa kasi ya ajabu lakin ikshuka kwa ghafla, kosa nikukubaliana na mwizi chenge, simlaumu sana zitto koz najua hawezi kuwa perfect marazote ingawa jamaa ana akili sana,
 
Back
Top Bottom