Yaliyojiri Bungeni: Ijumaa, 28 Novemba 2014 (Hatma ya Sakata la Tegeta Escrow Account)

Wakuu tushauri ukawa Kama hakutakuwa Na muafaka WA viongozi kuwajibika hapo bungeni kwa hiari Yao tushauri watoke. Wasishiriki kulinda wez. Inavyoo ekana professor anahusika haiwezekani watu wawe viburi kiasi hiki jamani. Ccm imeonesha dhahiri kulinda wezi Na hawako kwa maslahi ya wananchi tuliowachagu. Sasa sisi ndio wenye nchi tutaamu. Ukawa wakiona wameshindwa warudi kwetu tutajua la kufanya. Huu Ni upuuzi mnatuambia mna uchungu Na wananchi huku mnalinda waizi. Hapana aisee.
 
Nimeongea mara nyingi hapa jamvini hamnielewi, pesa za Singasinga Luteni kanali amepokea na Muhongo anajuwa na ndio maana ana kiburi cha kukataa kujiuzulu, kwa nini bunge linamuogopa Rais mpiga madeal?

Enough is enough Kikwete aondoke tumekuvumilia tumekuchoka.
 
Makinda anajitetea kuwa ana kesi kwa kuingilia muhimili mwingine hivyo hawezi kukubaliana na maazimio ya PAC,kwa hiyo walishaandaa maazimio yao
 
Nimeongea mara nyingi hapa jamvini hamnielewi, pesa za Singasinga Luteni kanali amepokea na Muhongo anajuwa na ndio maana ana kiburi cha kukataa kujiuzulu, kwa nini bunge linamuogopa Rais mpiga madeal?

Enough is enough Kikwete aondoke tumekuvumilia tumekuchoka.

Ikishindikana bungeni leo. Nashauri UKAWA wagawanyika katika kanda zote za Tanzania kuwasha moto. Hii inauzi kweli
 
Niwe mkweli ktk siku nilizokuwa na hasira ya kupasuka ni leo. Sikuwahi kufikiria kuasi chama changu ukizingatia mi ni kiongozi. Lakini kama Mbowe angekubali kushirki kulinda wezi wa Escrow ningechukua uamzi mbaya. Haiwezikani Chenge ndiye anatengeneza maazimio! Yaani mwizi aliyekunja bl 1.6 leo anatengeneza maazimio ya kumwajibisha aliyempa mabilioni?? Serikali ni mtuhumiwa anajipangia maazimio kupitia kwa mawaziri??? Siyo wale wale waliokaa Kunduchi Hotel?

Nilikusudia kuchana kadi yangu niachane na siasa! Naomba radhi sana, sidhani kama ntakasirika namna hii tena. Ni kiwango cha juu cha hasira! Lakini upinzani turudi na shariti kwamba watuhumiwa wasishiriki kujipendekezea adhabu.Please Mbowe simamia hili.

Mbowe anadeserve kuwa raisi wa nchi hii. Kusema ukweli anajitahidi sana. Imeamini hakuchaguliwa kuwa mwenyekiti kwa bahati mbaya. Big up mbowe na ukawa kwa ujumla wake. Mungu awape nguvu ya kupigania maslahi mapana ya nchi hii
 
Wanabodi

Pengine tofauti na mawazo ya wengi eti mimi ni mwanachama wa ACT. sio kweli mimi sina chama lakini kwakuwa nimekuwa nikikipinga chadema basi nikapewa jina baya.

Zitto Kabwe jana alihudhuria vikao vya Ukawa na alitambulika na kila mtu akamfurahia na yeye pia alivutiwa na strategy(fitina) zilizokuwa zinapangwa ndani ya kokas ya ukawa, alashindwa akaweka hisia zake wazi hadi ndani ya bunge.

Angalizo. Zitto ni mtu mwenye akili sana.. anajua kuishi na mabadiliko, hachukui ushauri ssehem moja tu kama wengi mnavyofikiri... tuliofanikiwa kumuuliza bro ndo umeamua kuanza moja chadema..anasema tuliza ball Six.

Napenda niwatahadharishe viongozi wa ACT pengine mkabakia wakiwa/mayatima kama mnategemea Zitto kubust chama.

Sixgates
 
Mkono na Mengi walipenyeza mambo Yao humo ili iwe rahisi kuwang'oa Mhongo na Maswi ambao ni Adui zao makubwa baada ya Mengi kunyimwa Vitalu vya Gesi huku Mkono akinyang'anywa Tenda zote za Kisheria hivyo kukosa Mabilioni kibao aliyokuwa akiyavuna miaka nenda ludi , Wote wawili wana hasira za Kukosa Ulaji tu wala hawana Uchungu sawa na Wananchi ! Mkono nje ya huu mkasa huwa ni Rafiki mkubwa wa Zito ndiyo Maana ikawa rahisi Lengo lake kutimia,huku Mengi akimtumia zaidi Sendeka na Mbowe Mchaga mwenzake, Hawa watu si kwamba wana Uchungu na Pesa za Umma Bali wao wana Uchungu na kukosa Ulaji tu, sasa wanahaha kusaka huruma za Wananchi kwa gharama yeyote ile.

Hapana. Sio kweli..
 
Nipata mashaka sana na huyu chenge haiwezekani akawa na nguvu yakuteka mjadala kiasi keli tena akiwa mshutumiwa.. Lazima kuna nguvu flani yuma yake.. Hawa ndio ma Freemason aisee..

Mtandao wake ni hatari
 
Hivi huwa najiuliza,

Ikitokea mwananchi mmoja akajichukulia hatua mkononi, akamu-assesinate Chenge na mafisadi wengine, Serikali yetu itawalilia?wananchi mtaani watahudhunika au itakuwa ni sherehe na vifijo?

jibu la haya mawili litatoa mwangaza wa socialk justice inayotakiwa kwa kina chenge.
 
Moderator hizi mada si muda wake ......tumeungana na wazalendo wachache wa CCM na UKAWA kupigania nchi.....tusivurugane.....
 
Last edited by a moderator:
Tuondolea uongo wako PAC wametunga uongo wao kibao halafu unataka tuwaamini haitawezekana hata kidogo wameshindwa hata kutumia ukaguzi wa CAG badala yake wametunga maneno yao ya uongo.

uchizi huwa unaanzia mbali sana,na huwezi kujielewa kama unaanza.
 
Nimeongea mara nyingi hapa jamvini hamnielewi, pesa za Singasinga Luteni kanali amepokea na Muhongo anajuwa na ndio maana ana kiburi cha kukataa kujiuzulu, kwa nini bunge linamuogopa Rais mpiga madeal?

Enough is enough Kikwete aondoke tumekuvumilia tumekuchoka.

Na hili ndo nilikuwa nalisubiri muda mrefu, hawa UKAWA wameridhika na wizi wa raisi kweupe, wanadai taratibu za ku-impeach president ni ngumu
 
Back
Top Bottom