Badili Mtazamo
Member
- Apr 29, 2024
- 22
- 34
Ikiwa Bunge linajadili taarifa ya Mkaguzi Mkuu wa hesabu za Serikali (CAG), kisha hakuna azimio linalotekelezwa?
Ni sababu zipi kisheria na Kikatiba zinaruhusu ripoti hiyo kusomwa Bungeni? Je Bunge linapitisha Bajeti wasiyoweza kusimamia na kuamua matumizi yake au lina kazi gani haswa isiyoonekana kwa macho kwenye Hesabu za Serikali?
Msimamizi mkuu wa Serikali anatosha kweli?
Ni sababu zipi kisheria na Kikatiba zinaruhusu ripoti hiyo kusomwa Bungeni? Je Bunge linapitisha Bajeti wasiyoweza kusimamia na kuamua matumizi yake au lina kazi gani haswa isiyoonekana kwa macho kwenye Hesabu za Serikali?
Msimamizi mkuu wa Serikali anatosha kweli?