Yajue maana ya majina haya ya vyeo vinavyotumika kwa viongozi mbalimbali wa kanisa Katoliki

View attachment 2687230

๐—๐—˜ ๐—ช๐—”๐—๐—จ๐—” ๐— ๐—”๐—”๐—ก๐—” ๐—ฌ๐—” ๐— ๐—”๐—ก๐—˜๐—ก๐—ข ๐—›๐—”๐—ฌ๐—”?

1. MWADHAMA
2. MHASHAMU
3. MWANDAMIZI
4. MONSINYORI
5. METROPOLITANI

iko hivi:-

๐Ÿญ. ๐— ๐—ช๐—”๐——๐—›๐—”๐— ๐—”

- Maana yake ni "Mheshimiwa sana" daima neno hili hutumika kwa Makadinari tu.

๐Ÿฎ. ๐— ๐—›๐—”๐—ฆ๐—›๐—”๐— ๐—จ.

- Maana yake ni "Mheshimiwa" daima neno hili hutumika kwa Maaskofu wa Jimbo, wakuu na wale wa kawaida tu.

๐Ÿฏ. ๐— ๐—ช๐—”๐—ก๐——๐—”๐— ๐—œ๐—ญ๐—œ.

- Maana yake ni mtu anayetarajia kurithi cheo au madaraka kutoka kwa mtu fulani.

- Hivyo Askofu Mwandamizi, ni yule anayetarajia kuchukua mamlaka kwa kutoka kwa Askofu aliyeko madarakni.

๐Ÿฐ. ๐— ๐—ข๐—ก๐—ฆ๐—œ๐—ก๐—ฌ๐—ข๐—ฅ๐—œ.

- Maana yake ni cheo cha heshima anachopewa Padre fulani kutoka kwa Askofu wake, baada ya kufanya kazi iliyotukuka.

- Aidha "Mosinyori" unaweza kuwaita kama "Manaibu Maaskofu" japo ni Mapadre wa kawaida, ila wana heshima fulani katika Kanisa.

๐Ÿฑ. ๐— ๐—˜๐—ง๐—ฅ๐—ข๐—ฃ๐—ข๐—Ÿ๐—œ๐—ง๐—”๐—ก๐—œ.

- Ni jina la eneo la ukanda wa Kanisa Katoliki, kwa asili yake ya Kigiriki linamaanisha "Kati ya Mji au Jimbo kuu"

- Kwa mfano: majimbo kama Dar es salaam, Mahenge, Ifakara, Morogoro na Tanga, ukiyaweka pamoja, yanaunda ukanda wa Kanisa Katoliki.

- Basi ukanda huo katika Kanisa Katoliki, linapaswa liongozwe na Askofu mmoja tu. Na eneo hilo litaitwa Metropolitani, yaani Jimbo kuu.

- Kwa sasa hapa kwetu Tanzania, tuna majimbo makuu saba (7) ambayo ni:

(๐’‚) ๐‘ฑ๐’Š๐’Ž๐’ƒ๐’ ๐’Œ๐’–๐’– ๐’๐’‚ ๐‘ซ๐’‚๐’“ ๐’†๐’” ๐‘บ๐’‚๐’๐’‚๐’‚๐’Ž.
(๐’ƒ) ๐‘ฑ๐’Š๐’Ž๐’ƒ๐’ ๐’Œ๐’–๐’– ๐’๐’‚ ๐‘บ๐’๐’๐’ˆ๐’†๐’‚.
(๐’„) ๐‘ฑ๐’Š๐’Ž๐’ƒ๐’ ๐’Œ๐’–๐’– ๐’๐’‚ ๐‘ซ๐’๐’…๐’๐’Ž๐’‚.
(๐’…) ๐‘ฑ๐’Š๐’Ž๐’ƒ๐’ ๐’Œ๐’–๐’– ๐’๐’‚ ๐‘ป๐’‚๐’ƒ๐’๐’“๐’‚.
(๐’†) ๐‘ฑ๐’Š๐’Ž๐’ƒ๐’ ๐’Œ๐’–๐’– ๐’๐’‚ ๐‘จ๐’“๐’–๐’”๐’‰๐’‚.
(๐’‡) ๐‘ฑ๐’Š๐’Ž๐’ƒ๐’ ๐’Œ๐’–๐’– ๐’๐’‚ ๐‘ด๐’˜๐’‚๐’๐’›๐’‚.
(๐’ˆ) ๐‘ฑ๐’Š๐’Ž๐’ƒ๐’ ๐’Œ๐’–๐’– ๐’๐’‚ ๐‘ด๐’ƒ๐’†๐’š๐’‚.

Tumsifu Yesu Kristo!View attachment 2687229
"Mosinyori" limetoka Kwenye neno la kilatini linamaanisha most senior,kwahiyo mara nyingi inakuwa padri mwenye umri mkubwa katika jimbo anakuwa mlezi na mshauri kwa mapdri
 
View attachment 2687230

๐—๐—˜ ๐—ช๐—”๐—๐—จ๐—” ๐— ๐—”๐—”๐—ก๐—” ๐—ฌ๐—” ๐— ๐—”๐—ก๐—˜๐—ก๐—ข ๐—›๐—”๐—ฌ๐—”?

1. MWADHAMA
2. MHASHAMU
3. MWANDAMIZI
4. MONSINYORI
5. METROPOLITANI

iko hivi:-

๐Ÿญ. ๐— ๐—ช๐—”๐——๐—›๐—”๐— ๐—”

- Maana yake ni "Mheshimiwa sana" daima neno hili hutumika kwa Makadinari tu.

๐Ÿฎ. ๐— ๐—›๐—”๐—ฆ๐—›๐—”๐— ๐—จ.

- Maana yake ni "Mheshimiwa" daima neno hili hutumika kwa Maaskofu wa Jimbo, wakuu na wale wa kawaida tu.

๐Ÿฏ. ๐— ๐—ช๐—”๐—ก๐——๐—”๐— ๐—œ๐—ญ๐—œ.

- Maana yake ni mtu anayetarajia kurithi cheo au madaraka kutoka kwa mtu fulani.

- Hivyo Askofu Mwandamizi, ni yule anayetarajia kuchukua mamlaka kwa kutoka kwa Askofu aliyeko madarakni.

๐Ÿฐ. ๐— ๐—ข๐—ก๐—ฆ๐—œ๐—ก๐—ฌ๐—ข๐—ฅ๐—œ.

- Maana yake ni cheo cha heshima anachopewa Padre fulani kutoka kwa Askofu wake, baada ya kufanya kazi iliyotukuka.

- Aidha "Mosinyori" unaweza kuwaita kama "Manaibu Maaskofu" japo ni Mapadre wa kawaida, ila wana heshima fulani katika Kanisa.

๐Ÿฑ. ๐— ๐—˜๐—ง๐—ฅ๐—ข๐—ฃ๐—ข๐—Ÿ๐—œ๐—ง๐—”๐—ก๐—œ.

- Ni jina la eneo la ukanda wa Kanisa Katoliki, kwa asili yake ya Kigiriki linamaanisha "Kati ya Mji au Jimbo kuu"

- Kwa mfano: majimbo kama Dar es salaam, Mahenge, Ifakara, Morogoro na Tanga, ukiyaweka pamoja, yanaunda ukanda wa Kanisa Katoliki.

- Basi ukanda huo katika Kanisa Katoliki, linapaswa liongozwe na Askofu mmoja tu. Na eneo hilo litaitwa Metropolitani, yaani Jimbo kuu.

- Kwa sasa hapa kwetu Tanzania, tuna majimbo makuu saba (7) ambayo ni:

(๐’‚) ๐‘ฑ๐’Š๐’Ž๐’ƒ๐’ ๐’Œ๐’–๐’– ๐’๐’‚ ๐‘ซ๐’‚๐’“ ๐’†๐’” ๐‘บ๐’‚๐’๐’‚๐’‚๐’Ž.
(๐’ƒ) ๐‘ฑ๐’Š๐’Ž๐’ƒ๐’ ๐’Œ๐’–๐’– ๐’๐’‚ ๐‘บ๐’๐’๐’ˆ๐’†๐’‚.
(๐’„) ๐‘ฑ๐’Š๐’Ž๐’ƒ๐’ ๐’Œ๐’–๐’– ๐’๐’‚ ๐‘ซ๐’๐’…๐’๐’Ž๐’‚.
(๐’…) ๐‘ฑ๐’Š๐’Ž๐’ƒ๐’ ๐’Œ๐’–๐’– ๐’๐’‚ ๐‘ป๐’‚๐’ƒ๐’๐’“๐’‚.
(๐’†) ๐‘ฑ๐’Š๐’Ž๐’ƒ๐’ ๐’Œ๐’–๐’– ๐’๐’‚ ๐‘จ๐’“๐’–๐’”๐’‰๐’‚.
(๐’‡) ๐‘ฑ๐’Š๐’Ž๐’ƒ๐’ ๐’Œ๐’–๐’– ๐’๐’‚ ๐‘ด๐’˜๐’‚๐’๐’›๐’‚.
(๐’ˆ) ๐‘ฑ๐’Š๐’Ž๐’ƒ๐’ ๐’Œ๐’–๐’– ๐’๐’‚ ๐‘ด๐’ƒ๐’†๐’š๐’‚.

Tumsifu Yesu Kristo!View attachment 2687229
Milele Amina,,, Asante kwa elimu hii.
 
View attachment 2687230

๐—๐—˜ ๐—ช๐—”๐—๐—จ๐—” ๐— ๐—”๐—”๐—ก๐—” ๐—ฌ๐—” ๐— ๐—”๐—ก๐—˜๐—ก๐—ข ๐—›๐—”๐—ฌ๐—”?

1. MWADHAMA
2. MHASHAMU
3. MWANDAMIZI
4. MONSINYORI
5. METROPOLITANI

iko hivi:-

๐Ÿญ. ๐— ๐—ช๐—”๐——๐—›๐—”๐— ๐—”

- Maana yake ni "Mheshimiwa sana" daima neno hili hutumika kwa Makadinari tu.

๐Ÿฎ. ๐— ๐—›๐—”๐—ฆ๐—›๐—”๐— ๐—จ.

- Maana yake ni "Mheshimiwa" daima neno hili hutumika kwa Maaskofu wa Jimbo, wakuu na wale wa kawaida tu.

๐Ÿฏ. ๐— ๐—ช๐—”๐—ก๐——๐—”๐— ๐—œ๐—ญ๐—œ.

- Maana yake ni mtu anayetarajia kurithi cheo au madaraka kutoka kwa mtu fulani.

- Hivyo Askofu Mwandamizi, ni yule anayetarajia kuchukua mamlaka kwa kutoka kwa Askofu aliyeko madarakni.

๐Ÿฐ. ๐— ๐—ข๐—ก๐—ฆ๐—œ๐—ก๐—ฌ๐—ข๐—ฅ๐—œ.

- Maana yake ni cheo cha heshima anachopewa Padre fulani kutoka kwa Askofu wake, baada ya kufanya kazi iliyotukuka.

- Aidha "Mosinyori" unaweza kuwaita kama "Manaibu Maaskofu" japo ni Mapadre wa kawaida, ila wana heshima fulani katika Kanisa.

๐Ÿฑ. ๐— ๐—˜๐—ง๐—ฅ๐—ข๐—ฃ๐—ข๐—Ÿ๐—œ๐—ง๐—”๐—ก๐—œ.

- Ni jina la eneo la ukanda wa Kanisa Katoliki, kwa asili yake ya Kigiriki linamaanisha "Kati ya Mji au Jimbo kuu"

- Kwa mfano: majimbo kama Dar es salaam, Mahenge, Ifakara, Morogoro na Tanga, ukiyaweka pamoja, yanaunda ukanda wa Kanisa Katoliki.

- Basi ukanda huo katika Kanisa Katoliki, linapaswa liongozwe na Askofu mmoja tu. Na eneo hilo litaitwa Metropolitani, yaani Jimbo kuu.

- Kwa sasa hapa kwetu Tanzania, tuna majimbo makuu saba (7) ambayo ni:

(๐’‚) ๐‘ฑ๐’Š๐’Ž๐’ƒ๐’ ๐’Œ๐’–๐’– ๐’๐’‚ ๐‘ซ๐’‚๐’“ ๐’†๐’” ๐‘บ๐’‚๐’๐’‚๐’‚๐’Ž.
(๐’ƒ) ๐‘ฑ๐’Š๐’Ž๐’ƒ๐’ ๐’Œ๐’–๐’– ๐’๐’‚ ๐‘บ๐’๐’๐’ˆ๐’†๐’‚.
(๐’„) ๐‘ฑ๐’Š๐’Ž๐’ƒ๐’ ๐’Œ๐’–๐’– ๐’๐’‚ ๐‘ซ๐’๐’…๐’๐’Ž๐’‚.
(๐’…) ๐‘ฑ๐’Š๐’Ž๐’ƒ๐’ ๐’Œ๐’–๐’– ๐’๐’‚ ๐‘ป๐’‚๐’ƒ๐’๐’“๐’‚.
(๐’†) ๐‘ฑ๐’Š๐’Ž๐’ƒ๐’ ๐’Œ๐’–๐’– ๐’๐’‚ ๐‘จ๐’“๐’–๐’”๐’‰๐’‚.
(๐’‡) ๐‘ฑ๐’Š๐’Ž๐’ƒ๐’ ๐’Œ๐’–๐’– ๐’๐’‚ ๐‘ด๐’˜๐’‚๐’๐’›๐’‚.
(๐’ˆ) ๐‘ฑ๐’Š๐’Ž๐’ƒ๐’ ๐’Œ๐’–๐’– ๐’๐’‚ ๐‘ด๐’ƒ๐’†๐’š๐’‚.

Tumsifu Yesu Kristo!View attachment 2687229
Katoliki bhana wanazunguka sana ila ukweli kwamba vyeo hivyo ni kwa ajili ya matumizi ya kisiasa kwenye utawala wa Roma
 
View attachment 2687230

๐—๐—˜ ๐—ช๐—”๐—๐—จ๐—” ๐— ๐—”๐—”๐—ก๐—” ๐—ฌ๐—” ๐— ๐—”๐—ก๐—˜๐—ก๐—ข ๐—›๐—”๐—ฌ๐—”?

1. MWADHAMA
2. MHASHAMU
3. MWANDAMIZI
4. MONSINYORI
5. METROPOLITANI

iko hivi:-

๐Ÿญ. ๐— ๐—ช๐—”๐——๐—›๐—”๐— ๐—”

- Maana yake ni "Mheshimiwa sana" daima neno hili hutumika kwa Makadinari tu.

๐Ÿฎ. ๐— ๐—›๐—”๐—ฆ๐—›๐—”๐— ๐—จ.

- Maana yake ni "Mheshimiwa" daima neno hili hutumika kwa Maaskofu wa Jimbo, wakuu na wale wa kawaida tu.

๐Ÿฏ. ๐— ๐—ช๐—”๐—ก๐——๐—”๐— ๐—œ๐—ญ๐—œ.

- Maana yake ni mtu anayetarajia kurithi cheo au madaraka kutoka kwa mtu fulani.

- Hivyo Askofu Mwandamizi, ni yule anayetarajia kuchukua mamlaka kwa kutoka kwa Askofu aliyeko madarakni.

๐Ÿฐ. ๐— ๐—ข๐—ก๐—ฆ๐—œ๐—ก๐—ฌ๐—ข๐—ฅ๐—œ.

- Maana yake ni cheo cha heshima anachopewa Padre fulani kutoka kwa Askofu wake, baada ya kufanya kazi iliyotukuka.

- Aidha "Mosinyori" unaweza kuwaita kama "Manaibu Maaskofu" japo ni Mapadre wa kawaida, ila wana heshima fulani katika Kanisa.

๐Ÿฑ. ๐— ๐—˜๐—ง๐—ฅ๐—ข๐—ฃ๐—ข๐—Ÿ๐—œ๐—ง๐—”๐—ก๐—œ.

- Ni jina la eneo la ukanda wa Kanisa Katoliki, kwa asili yake ya Kigiriki linamaanisha "Kati ya Mji au Jimbo kuu"

- Kwa mfano: majimbo kama Dar es salaam, Mahenge, Ifakara, Morogoro na Tanga, ukiyaweka pamoja, yanaunda ukanda wa Kanisa Katoliki.

- Basi ukanda huo katika Kanisa Katoliki, linapaswa liongozwe na Askofu mmoja tu. Na eneo hilo litaitwa Metropolitani, yaani Jimbo kuu.

- Kwa sasa hapa kwetu Tanzania, tuna majimbo makuu saba (7) ambayo ni:

(๐’‚) ๐‘ฑ๐’Š๐’Ž๐’ƒ๐’ ๐’Œ๐’–๐’– ๐’๐’‚ ๐‘ซ๐’‚๐’“ ๐’†๐’” ๐‘บ๐’‚๐’๐’‚๐’‚๐’Ž.
(๐’ƒ) ๐‘ฑ๐’Š๐’Ž๐’ƒ๐’ ๐’Œ๐’–๐’– ๐’๐’‚ ๐‘บ๐’๐’๐’ˆ๐’†๐’‚.
(๐’„) ๐‘ฑ๐’Š๐’Ž๐’ƒ๐’ ๐’Œ๐’–๐’– ๐’๐’‚ ๐‘ซ๐’๐’…๐’๐’Ž๐’‚.
(๐’…) ๐‘ฑ๐’Š๐’Ž๐’ƒ๐’ ๐’Œ๐’–๐’– ๐’๐’‚ ๐‘ป๐’‚๐’ƒ๐’๐’“๐’‚.
(๐’†) ๐‘ฑ๐’Š๐’Ž๐’ƒ๐’ ๐’Œ๐’–๐’– ๐’๐’‚ ๐‘จ๐’“๐’–๐’”๐’‰๐’‚.
(๐’‡) ๐‘ฑ๐’Š๐’Ž๐’ƒ๐’ ๐’Œ๐’–๐’– ๐’๐’‚ ๐‘ด๐’˜๐’‚๐’๐’›๐’‚.
(๐’ˆ) ๐‘ฑ๐’Š๐’Ž๐’ƒ๐’ ๐’Œ๐’–๐’– ๐’๐’‚ ๐‘ด๐’ƒ๐’†๐’š๐’‚.

Tumsifu Yesu Kristo!View attachment 2687229
Safi!
 
Hata Msalaba ni neno la Kiarabu
Kwa hiyo kumbe huko kwenye ukristo wana utamaduni.mwingi wa kiarabu
1.Mavazi ya viongozi,ma Askofu na maPadre wanavyaa kanzu,barghashia,soksi,kofia,fimbo, Mashemasi kuvyaa kanzu,yote hayo ni ya utamaduni wa kiarabu.
2.Kufukiza ubani,marashi,ni utamaduni wa kiarabu.
3.Madhabahu ni neno la kiarabu.
4.Baraka ni neno la kiarabu.
5.Ibada ni neno la kiarabu
 
Labda ungewauliza waislamu kwa nini kwenye Quran kuna Surat Mariam? Hata huyo Muhammad hana Surat kwenye Quran.

Huku kwetu mtaani mama Dangote anatukuzwa kuliko Diamond mwenyewe, maana machawa wanasema bila Bi Sandra kumzaa Diamond wengine wangekuwa wameshakufa kwa njaa.
Surat Muhammad ipo.Mkikaa kwenye vijiwe vya pombe za kienyeji,mnadanganyana.kuwa hakuna Surat Muhammad.
 
Back
Top Bottom