Yajue maana ya majina haya ya vyeo vinavyotumika kwa viongozi mbalimbali wa kanisa Katoliki

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
74,894
155,915
1689287746365.png


๐—๐—˜ ๐—ช๐—”๐—๐—จ๐—” ๐— ๐—”๐—”๐—ก๐—” ๐—ฌ๐—” ๐— ๐—”๐—ก๐—˜๐—ก๐—ข ๐—›๐—”๐—ฌ๐—”?

1. MWADHAMA
2. MHASHAMU
3. MWANDAMIZI
4. MONSINYORI
5. METROPOLITANI

iko hivi:-

๐Ÿญ. ๐— ๐—ช๐—”๐——๐—›๐—”๐— ๐—”

- Maana yake ni "Mheshimiwa sana" daima neno hili hutumika kwa Makadinari tu.

๐Ÿฎ. ๐— ๐—›๐—”๐—ฆ๐—›๐—”๐— ๐—จ.

- Maana yake ni "Mheshimiwa" daima neno hili hutumika kwa Maaskofu wa Jimbo, wakuu na wale wa kawaida tu.

๐Ÿฏ. ๐— ๐—ช๐—”๐—ก๐——๐—”๐— ๐—œ๐—ญ๐—œ.

- Maana yake ni mtu anayetarajia kurithi cheo au madaraka kutoka kwa mtu fulani.

- Hivyo Askofu Mwandamizi, ni yule anayetarajia kuchukua mamlaka kwa kutoka kwa Askofu aliyeko madarakni.

๐Ÿฐ. ๐— ๐—ข๐—ก๐—ฆ๐—œ๐—ก๐—ฌ๐—ข๐—ฅ๐—œ.

- Maana yake ni cheo cha heshima anachopewa Padre fulani kutoka kwa Askofu wake, baada ya kufanya kazi iliyotukuka.

- Aidha "Mosinyori" unaweza kuwaita kama "Manaibu Maaskofu" japo ni Mapadre wa kawaida, ila wana heshima fulani katika Kanisa.

๐Ÿฑ. ๐— ๐—˜๐—ง๐—ฅ๐—ข๐—ฃ๐—ข๐—Ÿ๐—œ๐—ง๐—”๐—ก๐—œ.

- Ni jina la eneo la ukanda wa Kanisa Katoliki, kwa asili yake ya Kigiriki linamaanisha "Kati ya Mji au Jimbo kuu"

- Kwa mfano: majimbo kama Dar es salaam, Mahenge, Ifakara, Morogoro na Tanga, ukiyaweka pamoja, yanaunda ukanda wa Kanisa Katoliki.

- Basi ukanda huo katika Kanisa Katoliki, linapaswa liongozwe na Askofu mmoja tu. Na eneo hilo litaitwa Metropolitani, yaani Jimbo kuu.

- Kwa sasa hapa kwetu Tanzania, tuna majimbo makuu saba (7) ambayo ni:

(๐’‚) ๐‘ฑ๐’Š๐’Ž๐’ƒ๐’ ๐’Œ๐’–๐’– ๐’๐’‚ ๐‘ซ๐’‚๐’“ ๐’†๐’” ๐‘บ๐’‚๐’๐’‚๐’‚๐’Ž.
(๐’ƒ) ๐‘ฑ๐’Š๐’Ž๐’ƒ๐’ ๐’Œ๐’–๐’– ๐’๐’‚ ๐‘บ๐’๐’๐’ˆ๐’†๐’‚.
(๐’„) ๐‘ฑ๐’Š๐’Ž๐’ƒ๐’ ๐’Œ๐’–๐’– ๐’๐’‚ ๐‘ซ๐’๐’…๐’๐’Ž๐’‚.
(๐’…) ๐‘ฑ๐’Š๐’Ž๐’ƒ๐’ ๐’Œ๐’–๐’– ๐’๐’‚ ๐‘ป๐’‚๐’ƒ๐’๐’“๐’‚.
(๐’†) ๐‘ฑ๐’Š๐’Ž๐’ƒ๐’ ๐’Œ๐’–๐’– ๐’๐’‚ ๐‘จ๐’“๐’–๐’”๐’‰๐’‚.
(๐’‡) ๐‘ฑ๐’Š๐’Ž๐’ƒ๐’ ๐’Œ๐’–๐’– ๐’๐’‚ ๐‘ด๐’˜๐’‚๐’๐’›๐’‚.
(๐’ˆ) ๐‘ฑ๐’Š๐’Ž๐’ƒ๐’ ๐’Œ๐’–๐’– ๐’๐’‚ ๐‘ด๐’ƒ๐’†๐’š๐’‚.

Tumsifu Yesu Kristo!
1689287438261.jpg
 
Back
Top Bottom