Jemima Mrembo
JF-Expert Member
- Jul 19, 2021
- 2,797
- 8,043
Really? Je mna salamu ya Yesu?Sio kweli kua Kanisa linamtukuza Bikira Maria kuliko Yesu. Hayo ni propaganda za waprotestanti tu.
Really? Je mna salamu ya Yesu?Sio kweli kua Kanisa linamtukuza Bikira Maria kuliko Yesu. Hayo ni propaganda za waprotestanti tu.
Maneno ni utamaduni? Hamna lugha ambayo inajitosheleza, zote zimetohoa manenoKwa hiyo kumbe huko kwenye ukristo wana utamaduni.mwingi wa kiarabu
1.Mavazi ya viongozi,ma Askofu na maPadre wanavyaa kanzu,barghashia,soksi,kofia,fimbo, Mashemasi kuvyaa kanzu,yote hayo ni ya utamaduni wa kiarabu.
2.Kufukiza ubani,marashi,ni utamaduni wa kiarabu.
3.Madhabahu ni neno la kiarabu.
4.Baraka ni neno la kiarabu.
5.Ibada ni neno la kiarabu
Pia bibi FaizaFoxy Kanisa Katoliki linaundwa na Dekania. Yaani jumla ya Parokia kadhaa ndizo zinazotengeneza hiyo Dekania.Wewe pata najisi hizo, halafu uje kuhadithia yakikukuta.
Tumsifu Yesu Kristu.....Milele amina,Really? Je mna salamu ya Yesu?
Ndiyo. Lugha ni tamaduni.Maneno ni utamaduni? Hamna lugha ambayo inajitosheleza, zote zimetohoa maneno
Dah! huko ndugu yangu na yale mambo yao mpaka Umoja wa Mataifa ukapiga makelele, wewe bado upo huko tu?
Makanisa yote ya Katoliki kuna msalaba mbele .Really? Je mna salamu ya Yesu?
NadhaniKatoliki bhana wanazunguka sana ila ukweli kwamba vyeo hivyo ni kwa ajili ya matumizi ya kisiasa kwenye utawala wa Roma
Ndio hivyo hivyo,hata wewe unavyaa socks ni utamaduni wa kiarabuInamaana Yusufu nae alifuatisha waarabu kuvaa kanzu?
Ndio hivyo vitabu na majarida vimeandika huo ni utamaduni wa waarabu.Elimu yako ni ndogo sana. Uwe na utamaduni wa kujisomea vitabu na majarida ya maarifa.
Maneno ni utamaduni.Lugha ni utamduni.Maneno ni utamaduni? Hamna lugha ambayo inajitosheleza, zote zimetohoa maneno
Nimekuuliza mzee yakobo aliekamshonea kanzu mwanae yusufu ndio aliiga kwa waarabu?Ndio hivyo hivyo,hata wewe unavyaa socks ni utamaduni wa kiarabu
Umejikuta mwarabuKumbe maneno ya kiarabu pia yanatumika huko,Muadhama(kiarabu),Mhashama (kiarabu).
Computer kwa Kiarabu inaitwaje? MRI na CT Scan vinaitwaje kwa kiarabu?Maneno ni utamaduni.Lugha ni utamduni.
Kikwajuni One leta majibuComputer kwa Kiarabu inaitwaje? MRI na CT Scan vinaitwaje kwa kiarabu?
Kanisa Katoliki lina matangotango mengi sana. Ulawiti wa watoto, kuwatimikisha msista Kingono etcDah! huko ndugu yangu na yale mambo yao mpaka Umoja wa Mataifa ukapiga makelele, wewe bado upo huko tu?
Dah! Nakusikitikia sana. Hivi bado unaamini kuna binaadam anampa binaadam mwenzake "utakatifu"? Halafu huyo binaadam anaempa mwenzake utakatifu mwenyewe ni waleeeee!
Hebu fikiri with a clear mind.
Ndio,waarabu walikuwepo,ndio wakawaiga.Nimekuuliza mzee yakobo aliekamshonea kanzu mwanae yusufu ndio aliiga kwa waarabu?
Bila waarabu kuleta Algorithim na Algebra,kusingekuwako na IT wala MRI wala Utrasound wala...vyote vinatumia mfumo wa Algebra(muarabu)na Algorithim(muarabu),bila waarabu hao tusingekuwa na :Kikwajuni One leta majibu
Hata wewe ni bwana akoWapi Yesu alisema yeye "bwana"? mbona nyie mnapenda kuwa waongo namna hii? Mnamzulia mtume wetu?