Kinachoonekana ni kichwa tu, hatujui kiwiwili kimezikwa sehemu nyingine au ndiyo hivyo kama kawaida ya fisi hasahau asili yake. Hatari sanaLabda mifupa maana nyama zitaishia tumboni mwake
nusu ya wabunge sio wapumbavu na nusu ya wabunge ni wapumbavu ni kauli ile ile tu.......isipokua tu sa hv kawataja wale nusu wasio wapumbavu kaachana na hawa nusu wapumbavuNusu ya wabunge ni wapumbavu.....! Nafuta kauli nusu ya wabunge sio wapumbavu
Hizo 'control weaknesses' unazozieleza ni mawazo yako au ya CAG?Tatizo lako Mshana Jr ndugu yangu unajua kila kitu ukianzia ulozi hadi uhasibu. Tofautisha masuala ya fraud (wizi, kutoonekana) na udhaifu wa mfumo simamizi (control weaknesses) ambayo hii ya pili ukija kwenye uhakiki kitu utakikuta ila hakijashughulikiwa katika utaratibu au mfumo unaosimamia kiasi kwamba udhaifu huo unaweza kuleta ubadhilifu.
Haya ni masuala ya kihasibu na ukaguzi wa vitabu vya uhasibu, utawala, na mfumo wa usimamiz wa shughuli za kihasibu.
Huu utaratibu wa kuwakusanyia Zanzibar mapato umeanza mwaka 2016/2017? Miaka yote nani alikuwa anawakusanyia hapa Tanzania bara? Vyanzo vya mapato vya Znz vilivyopo bara ni vipi? Kwanini walipohojiwa na CAG hawakutoa vielelezo vyoyote hadi kawaumbua kwenye ripoti?200 bil zimeenda zanzibar
Zilizobaki chukua karukureta ndugu
Na hv siku hz mkandarasi mkuu wa miradi ya govt ni ya vichaa construction mzigo utakuwa unapita juu kwa juu"Nusu ya wabunge wote humu ni wapumbavu" kisha akakanusha "Nusu ya wabunge wote humu si wapumbavu". haichekeshi lakini lazime ucheke kidogo. Kwamba pesa labda zimejenga madaraja , lakini hazikupitia bungeni kibajeti kupata idhini ya bunge kama sheria inavyoongoza. Uhalali uko wapi? Ikitokea miradi imechakachuliwa bunge litamuhoji nani? Kuna jambo, tena si dogo
Kwa mtazamo wangu kama hajakanusha vile maana nusu ni wapumbavu na nusu si wapumbavu nikama kasisitiza tu"Nusu ya wabunge wote humu ni wapumbavu" kisha akakanusha "Nusu ya wabunge wote humu si wapumbavu". haichekeshi lakini lazime ucheke kidogo. Kwamba pesa labda zimejenga madaraja , lakini hazikupitia bungeni kibajeti kupata idhini ya bunge kama sheria inavyoongoza. Uhalali uko wapi? Ikitokea miradi imechakachuliwa bunge litamuhoji nani? Kuna jambo, tena si dogo
Huu utaratibu wa kuwakusanyia Zanzibar mapato umeanza mwaka 2016/2017? Miaka yote nani alikuwa anawakusanyia hapa Tanzania bara? Vyanzo vya mapato vya Znz vilivyopo bara ni vipi? Kwanini walipohojiwa na CAG hawakutoa vielelezo vyoyote hadi kawaumbua kwenye ripoti?