Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,658
- 830,524
- Thread starter
- #101
Ok ok ni kweli hebu nitajie nikaitafute aisee ukiweza kulikumbuka jina lakeHapana mkuu sio mzugwa hio mzugwa ni ya malaria, Hio ya muku ya kunywa hata mimi nilitumia ni mti fulani mgumu hata upige kazi uwe hoi vipi kesho unapga glass moja asubuhi unakuwa fiti huichemshi unaloeka tu huo mzizi
