Yahusu kuchanjiwa muku

Yahusu kuchanjiwa muku

Hapana mkuu sio mzugwa hio mzugwa ni ya malaria, Hio ya muku ya kunywa hata mimi nilitumia ni mti fulani mgumu hata upige kazi uwe hoi vipi kesho unapga glass moja asubuhi unakuwa fiti huichemshi unaloeka tu huo mzizi
Ok ok ni kweli hebu nitajie nikaitafute aisee ukiweza kulikumbuka jina lake
 
Kuhusu kujaribiwa kuna siku niliona clip moja kuhusu bulletproof jamaa yupo ndani ya gari wakaja jamaa watatu na machine wakaanza kupiga kioo cha mbele mpaka risasi zikaisha yule jamaa yupo ndani katulia tuli.
Sasa nimepiga picha ya muku parefu hapo jamani lazima upate kitete .
 
Kuhusu kujaribiwa kuna siku niliona clip moja kuhusu bulletproof jamaa yupo ndani ya gari wakaja jamaa watatu na machine wakaanza kupiga kioo cha mbele mpaka risasi zikaisha yule jamaa yupo ndani katulia tuli.
Sasa nimepiga picha ya muku parefu hapo jamani lazima upate kitete .
Kila kitu kinataka ujasiri hasa kama kitu chenyewe kinahusisha uzima na kifo
 
Doh nimeogopa kidogo baada ya kuona madahara ya kuchanjwa wakati wa kufa! maana kuna ndugu yetu anateseka na magonjwa ya nguvu za giza tukampeleka Tanga Segela kwa babu mmoja maarufu wa kidigo akachanjwa na kupakwa dawa flani nyeusi kama unga wa mkaa inawashaa...kifuani mgongoni na sehemu zote za maumivu... sasa nayo ina madhara kama muku au ile ni tiba tu haina madhara doh!
 
Doh nimeogopa kidogo baada ya kuona madahara ya kuchanjwa wakati wa kufa! maana kuna ndugu yetu anateseka na magonjwa ya nguvu za giza tukampeleka Tanga Segela kwa babu mmoja maarufu wa kidigo akachanjwa na kupakwa dawa flani nyeusi kama unga wa mkaa inawashaa...kifuani mgongoni na sehemu zote za maumivu... sasa nayo ina madhara kama muku au ile ni tiba tu haina madhara doh!
Huyo katibiwa tu kwakuwa kuchanjiwa muku ni mpaka utake mwenyewe na si kila mganga anajua hiyo makitu. ...ukikutana na mganga ambaye hajui vizuri atakusababishia madhara hata kifo wakati wa majaribio
 
Kila kitu kinataka ujasiri hasa kama kitu chenyewe kinahusisha uzima na kifo
Yaah!ni kweli coz kuna story nyingine jamaa kaenda penye mambo hayo mganga kamwambia ingia porini ndani utakuta kuna mbuzi mfunge hii kamba uje nae jamaa kaingia chaka ile sehemu alio elekezwa kufika anakuta simba dume limetulia linamtizama sasa hapo kazi kwako inasemekana jamaa alifunga nafsi akenda Kumfunga kamba alipomaliza yule msimbazi akageuka mbuzi.
 
Muku!!! dah! neno hili nililisikia zamani sana nikiwa usambaani milimani kwa watu waliokua wana miguvu ya ajabu. Very interesting. Siku nikirudi kwa wasambaa nikitokea huku ''kwe nyika'' nilipo, nitakutafuta ndugu Mshana jr. ili na mimi nichanjie muku! teh teh teh.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom